Manchester United (Red Devils) | Special Thread

hizi takataka tumezilea sana, natumai huyu dogo atapata kocha sahihi wa kumtengeneza
View attachment 1916634
"Sasa kama timu yenyewe ni matakataka kwa nini msilee takataka? Unajua takataka haikai sehemu safi au sahihi ..inakaa sehemu za ovyo kama jalalani, chooni, dampo hivyo hii timu ni takataka tosha mkuu. Hata fans wake ni takataka tupu.."

Alisikika mtaalamu mmoja.
 
Kama sijakosea,hii nnafasi imewekwa makusudi kabisa kwa ajili ya Declan Rice msimu ujao wa 2022/23
hii comment yako aione Joh Doe
both fred na mctominay wamekuwa wakilalamikiwa juu ya upungufu wao wa kusogeza timu mbele kupitia pasi zao, baadae tena unataka kumsajili declan rice.
Mungu atuepushie na hicho kikombe
 

marcelo bielsa ameona jambo gani kubwa kwa huyu mchezaji, jibu ni rahisi bielsa anaamini zaidi system kuliko individual performance.
work rate ya daniel james ni kubwa sana pindi anapokuwa uwanjani na ndio maana si ajabu bielsa ameendelea kumpigania tena kwa mara ya pili.

miaka miwili iliopita dili la james lilifeli kwa sababu ya papeworks
picha hii ni miaka miwili iliopita
 
hii comment yako aione Joh Doe
both fred na mctominay wamekuwa wakilalamikiwa juu ya upungufu wao wa kusogeza timu mbele kupitia pasi zao, baadae tena unataka kumsajili declan rice.
Mungu atuepushie na hicho kikombe
Kwa kumuweka kama potential untouched signing Kumbe Declan rice ni mzuri kuliko Ndidi na Calvin Philips?
 
Probably Fred amechoka sana na Copa America misimu miwili iliyopita hakuwa hovyo namna hii nachokiona sasa hivi hayuko form kabisa na kibaya zaidi partnership yake na Paul Pogba haijawahi kuzaa matunda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…