Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Point 3 muhimu sasa tunatakiwa kuanza kugawa dozi
 
Wake zake kama kawaida...game over

Kazi nzuri vijana wa Man Utd, afadhali sasa kesho tutakwenda maofisini na vijiweni bila makelele.

Heshima imerudi mjini na sasa ni mwendo mdundo kuelekea kuuchukua ubingwa.

Tulishawaambia arsenane wao ni wateja wetu lakini wakawa wanabisha.
 
Kazi nzuri vijana wa Man Utd, afadhali sasa kesho tutakwenda maofisini na vijiweni bila makelele.

Heshima imerudi mjini na sasa ni mwendo mdundo kuelekea kuuchukua ubingwa.

Tulishawaambia arsenane wao ni wateja wetu lakini wakawa wanabisha.

mfarisayo mwaga mapicha bana...
 
Last edited by a moderator:
RVP RVP RVP RVP DAH poleni sana Arsenal aliewafunga ni Ferguson pale jukwaani.
 
nimezoea kushinda kila game ....!!

Isipokuwa kwa Man Utd ndipo huna mazoea ya kushinda. Hapo OT mara zote tunawavurugia mipango yenu ya ndoto za ubingwa.

Kila mara mkija na virekodi vyenu vya unbeaten sisi tunawakung'uta.
 
mfarisayo mwaga mapicha bana...
Hehehehe Nzi Leo umemtaja mtu ambaye nilijua duniani hayupo kaenda mars Kumbe mfarisayo yupo? Hongereni naona ule muda wa winter kutoa watu Jasho ndio mmeuanza soon na sie tutapotelea mars hehehe. Leo atarusha picha mpaka atapewa ban nilikuwa nakuona Nzi na belo tu wabishi Kama wale singasinga wa united.
 
Back
Top Bottom