Sawa kwahiyo bwana Smith rowe kuingia mapambano ya 50/50 yamewasaudia mfike wapi ndugu??Mmesajiri jina (brand) lakini hakuna mchezaji sasa hivi pale
Ufanisi wake ulikua Madrid , ata kule juve hakufanya la maana zaidi ya watu hadi wakakosa kombe la ligi
Sasa hivi hakabi, yeye anakimbia na move tu
Muoga sana kuingia zile 50-50, anajua akipata majerui makubwa ndio basi tena
Haya mapambio ya mwanzo ila baada ya x-mass au 2022 kabisa tutaimba nyimbo ya aina moja
Mpango wa Ronaldo ni plan B.Mkuu posts zako za nyuma zote unataka tusajili DM wa uhakika leo imekuwaje DM asihitajike ?
Unateseka ukiwa wapi manara?Acha unaaa nyumbu wewe, kwenye jukwaa la THE BLUES wapi tumemtaja ronaldo?
Hata sasa hivi timu zinazocheza na Man united zinajilinda kwa low block.Mpango wa Ronaldo ni plan B.
Ule mfumo wa mwanzo wa ole ilikuwa ni lazima apate DM.
Ili tuwe attacks zaidi.
Kwa sasa tuna Ronaldo unadhani DM wa nn? .
tukiwa na DM mkali tunapaswa tucheze 4--3--3.
tukiwa na Ronaldo tunacheza 4--4--2..
Wenye timu wameamua bora Ronaldo.. Kuliko DM..
muhimu ni the strongest man u..
Ukiwa na attackers wakali mbele unawalazimisha wao kujilinda..hakuna haja ya DM.
Hakika mkuu,,Hata sasa hivi timu zinazocheza na Man united zinajilinda kwa low block.
Timu yoyote inayofunguka mbele ya United ya Solkjaer inafungwa hivi huwa hujiulizi kwanini Ole anamnyanyasa Guardiola na Marcelo Bielsa ?
Nilichogundua timu yetu tunayatazama mapungufu yetu kwa angle ya individual players alone.
Mechi yetu na Southampton ilireveal kitu tofauti kabisa na ukosefu wa wachezaji fulani fulani.
Mkuu kama chakula cha moto kunywa maji,,upoze koo.Ronaldo alikuwa ameshakubali kulipwa £270,000/= per week city ,kwan alikuwa amekubali project ya city ....
Lakini nyie nyumbu from no where bila hata kufikilia mna mpango gani ,wivu ,chuki na kisebengo kinawawasha mmeamua kumpa ronaldo £480,000/= per week ,then mnasema anaipenda united .....
Wakati mmeamua kumpa mkwanja mrefu kikongwe wa miaka 36 ....
Yaan huu usajili unaenda kubuma ....
Eeeeeh Mungu nisaidie .......
Uliangalia mechi yetu na Southampton ?Hakika mkuu,,
Lakini tukienda na Ronaldo na cavani kwa pamoja.
Utawezaje kuzuia mvua na mwamvuli wa chandarua?
Sawa mkuu, mpeni basi jezi yake maarufu no. 7 na huyo Cavani sijui mtamuweka wapi au mtamtoa mkopoKuna wachezaj mishahara yao inajilipa yenyewe hilo tambua yule sio phil jones kuhofia ronaldo hawez kutupa tunachotaka ni matumizi nabaya ya akili ronaldo kaipa kila kitu ile timu ujio wa ronaldo ni kuinua morali ya timu kwa wachezaj chipukiz na pia yule ni best player wa manchester united wa muda wote kumkataa aende city ungekuwa upuuzi na dharau
Jez ya ronaldo sokon inaweza kulipa mshahara wake bila club kuingia hasara
Manchester united ilikuwa na sura nyingi mpya ujio wa wenye timu kuna faida kubwa sana.
Ronaldo bado anaona goli mkuu, takwimu zinamtetea sanaMmesajiri jina (brand) lakini hakuna mchezaji sasa hivi pale
Ufanisi wake ulikua Madrid , ata kule juve hakufanya la maana zaidi ya watu hadi wakakosa kombe la ligi
Sasa hivi hakabi, yeye anakimbia na move tu
Muoga sana kuingia zile 50-50, anajua akipata majerui makubwa ndio basi tena
Haya mapambio ya mwanzo ila baada ya x-mass au 2022 kabisa tutaimba nyimbo ya aina moja
Cavan yupo sana jamaa anaweza kupewa jez nyingine tu mkuuSawa mkuu, mpeni basi jezi yake maarufu no. 7 na huyo Cavani sijui mtamuweka wapi au mtamtoa mkopo
Chelsea is big nowChelsea signs Kante from Leicester
Went ahead to buy Maguire from Leicester
Chelsea signs Pulisic from Dortmund
Went ahead to buy Sancho from Dortmund
Chelsea signs Ziyech from Ajax
Went ahead to buy Van De Beek from Ajax
Chelsea signs Thiago Silva from PSG
Went ahead to buy Cavani from PSG
Chelsea recalls former player, Lukaku from Serie A
Also went ahead to recall former player, Ronaldo from Serie A
Will do absolutely everything to be Chelsea, but can never be Chelsea
My brother, when you're big, you're big
Hahahhahaah wanajua patawaka !!!Nilichungulia jukwaa la wapinzani wa man u EPL..
ni vilio vitupu..na mayowe yalisikika.
Wengine wamekwenda mbali zaidi wanasema CR 7 atatusumbuwa sna EPL.
wengine wakimlaumu Giudiola kwa.kushindwa kufanikisha kumchukuwa CR 7..
nikashangaa sn yaani timu kama arsenal,chelsea,liverpool zinaona bora CR 7/ angeenda man city kuliko CR7 kuja man u..
Chelsea is big now
Kwahiyo manchester united walimnunua Cavani toka PSG unauhakika?Chelsea signs Kante from Leicester
Went ahead to buy Maguire from Leicester
Chelsea signs Pulisic from Dortmund
Went ahead to buy Sancho from Dortmund
Chelsea signs Ziyech from Ajax
Went ahead to buy Van De Beek from Ajax
Chelsea signs Thiago Silva from PSG
Went ahead to buy Cavani from PSG
Chelsea recalls former player, Lukaku from Serie A
Also went ahead to recall former player, Ronaldo from Serie A
Will do absolutely everything to be Chelsea, but can never be Chelsea
My brother, when you're big, you're big
Huu ujio wa CR7 umewavuruga sanakwa kweli is big now,jamaa anateseka sana,si hizo habari apeleke jukwaa lao?
Arteta huyu au mwingineMisimu mitano sasa; Ole anazidiwa ata na Arteta na kikombe. Nahisi Ole kuna sehemu anachawia ili aaminiwe kua anajenga timu.
Mkuu Arteta ana kombe la FA; Ole yeye kasingizio ni nini sasa.Arteta huyu au mwingine