Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Tutakwenda na 4-4--2..

CR7 ...cavani 9


Rashford... Pogba Bruno. Sancho.

Shaw,magwea,varane bisaka.

Tutaachana na DM..

Kama ole yupo serious na makombe,..
Asee ole akienda na formation hii magoli mengi sana tutapata maana mbele kuna goal mashine tupu apo akitoka cavan anaingia greenwood safi sana
 
Asee ole akienda na formation hii magoli mengi sana tutapata maana mbele kuna goal mashine tupu apo akitoka cavan anaingia greenwood safi sana
Cavan hatoki,,ila kati ya Sancho na rashford ndy watakaobadilishana namba na green Wood.

Mbele inakuwa

Sancho/rashford kishoto..

Kulia green wood.

Cavan na Ronaldo wanasimama mbele ..
Hapo timu pinzani wataamua kupaki basi au wapaki Lori kabisa..

Ronaldo na Cavan huwezi kuwatoa ili
Waendelee kuwajambisha pale mbele...
 
Kuna wachezaj mishahara yao inajilipa yenyewe hilo tambua yule sio phil jones kuhofia ronaldo hawez kutupa tunachotaka ni matumizi nabaya ya akili ronaldo kaipa kila kitu ile timu ujio wa ronaldo ni kuinua morali ya timu kwa wachezaj chipukiz na pia yule ni best player wa manchester united wa muda wote kumkataa aende city ungekuwa upuuzi na dharau
Jez ya ronaldo sokon inaweza kulipa mshahara wake bila club kuingia hasara

Manchester united ilikuwa na sura nyingi mpya ujio wa wenye timu kuna faida kubwa sana.
 
Hata akiwa kinda hakuwahi kuwa mkabaji pale united kazi kubwa ilifanywa na rooney,scholes na carick
 
Huu usajili wa ronaldo haikuwa plan ya ole ....na ole hatakuwa na uwezo wa kumtumia CR 7 ....


Muda utasema
Hyo ni plan ya Ferguson..
Ambaye ndy Mwalimu wa ole.

Tunakwenda na 4 -4- 2..

Ronaldo kurudi ni bora kuliko kununuwa DM...

labda ole asiwatumie wote kwa pamoja.
Aendelee na akina sunche(fed) na kapeto(Mac Tommy) 4-2-3-1
 
Mbona kama unateseka mkuu
 
Tulifika pabaya sana, eti ka Trashford kalikuwa kanajiona ka star, sasa the real star has come kaache upumbavu.
 
Tumeyapokea malalamiko yako tupo kwenye mchakato tutayafanyia kazi.
 
Ole akienda na 4-4-2.

Mashabiki wa man tunatembea kifua mbele.

Kwanza ikitokea man u imepata corner ujuwe ni sawa na penalt kwa man u ya sasa.

--Ronaldo mzuri kwa magoli ya vichwa.
--Cavani mzuri kwa magoli ya vichwa.
--Varane mzuri kwa magoli ya vichwa.
--Magwea mzuri kwa magoli ya vichwa..

Sasa utamzuia nani? Asikufunge kwa kichwa?
 
Ole akienda na 4-4-2.

Mashabiki wa man tutatembea kifua mbele...

Kwanza ikitokea man u imepata corner ujuwe ni sawa na penalt kwa man u ya sasa.

--Ronaldo mzuri kwa magoli ya vichwa.
--Cavani mzuri kwa magoli ya vichwa.
--Varane mzuri kwa magoli ya vichwa.
--Magwea mzuri kwa magoli ya vichwa..

Sasa utamzuia nani? Asikufunge kwa kichwa?
 
Wale wakongwe sometime itabidi kwenye dk za jion wanapisha dam changa ziende kujiuliza je nlipaswa nipishwe au??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…