Msimu huu man u kuingia top 6 ni sawa na ngamia kupita kwenye tundu la sindanoUzuri wake msimamia mazoezi anamaliza nafasi za juu kwenye ligi kushinda makocha.
Sasa kumbe akikaza msimu huu anaweza kuwa bingwa, ligi si haina fainali.
4, 3, 2,.....
1. MANCHESTER UNITEDMsimu huu man u kuingia top 6 ni sawa na ngamia kupita kwenye tundu la sindano
Endelea kuota Mzee1. MANCHESTER UNITED
2. Manchester City
3. Tottenham Hotspur
4. Liverpool
5. Chelsea
6. Aston Villa
Your club won't dare to come near the Premier League title!
Kaongea kinafikiManutd wamo lakini hawavumi - LampardView attachment 1886993
Arteta kachukua kombe gani msimu uliopita?Tukubaliane kabla ligi haijaanza
Sosha ni msimamizi wa mazoezi, yani ata kombe la mapinduzi hakuna
Kwa sababu mlivyokua vichwa maji, mkishinda game mbili au tatu huwa mnasahau kabisa
Mkuu si ututajie tu kwanini tuende Google wakati wewe umeleta hoja humu tena specifically Russia na South AmericaMkuu ingia gougle uliza 10 DM man u could buy for cheap.
Watakuja kibao tu.
Tumeshuhudia euro 2021 kuna inchi zina wachezaji wazuri na hawana majina.
Box to Box ni CMDah..mkuu kwani box to bov ni nn unavyojuwa wewe?
Ni kama Fred .
Anakuwa wanacheza sn chini
Au box to box ni nn mkuu?
Labda nieleweshe?
uwezo wa kumpata tunao lakini Yeye iuja italeta mambo kama ya Sanchez....alafu wachezaji wemgine kwenye kunegotiate mikataba wataanza kutaka paund 800 huko hiyo itaharibu timu kama barcaHivi kweli Messi ndio tumeshindwa kumpata..
Tungempata mauzo ya Jersey tu yalitosha kulipa mshahara wake vizuri tu.
Ngoja niseme kitu.....Box to Box midfielder sio kiungo mzuiaji japo anazuia kwamaana Box to Box anatakiwa kucheza kwenye mabox yote mawili la kwake na la adui......Dah..mkuu kwani box to bov ni nn unavyojuwa wewe?
Ni kama Fred .
Anakuwa wanacheza sn chini
Au box to box ni nn mkuu?
Labda nieleweshe?
Box to box ni cdm anakuwa sana atembei juu,,Ngoja niseme kitu.....Box to Box midfielder sio kiungo mzuiaji japo anazuia kwamaana Box to Box anatakiwa kucheza kwenye mabox yote mawili la kwake na la adui......
Yani tukishambuliwa akabe sana na tukipata mpira aende mbele ashambulie kwenye box la wapinzani.....ni CM ambae anacheza mabox yote mawili
Dah..sawa mkuuBox to Box ni CM
CM ni mediflder aina gani mkuu?Box to Box ni CM
Duniani cdm ni camavinga tu? Nimekwambiya Brazil,Russia,, Argentina kuna watu wana balaa,Mkuu si ututajie tu kwanini tuende Google wakati wewe umeleta hoja humu tena specifically Russia na South America