Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Ligi yoyotte lazima kuwe na idadi ya wazawa,
Hao akina Maguire, and likes kinachowabeba ni uzawa na sheria inawabeba kwa kiasi Fulani lazima wawepo on pitch

Na hiyo ndio sababu price yao huenda juu sana, kuliko uhalisia
Sasa hauwez ukawa na timu alafu hakuna mzawa

TATIZO NYUMBU HAMJUI MPIRA, KULISHANA UJINGA TU
 
Kisheria tuna nafasi moja tu ya mchezaji mwenye uraia tofauti na Uingereza, kama tukisajili wachezaji wawili (kama ripoti zinavyodai) tegemea mmoja wao ni Muingereza mwingine anakuja.
 
Unashangaza sana!!!

Misimu yote waliyocheza Scott na Fred against big games tulifanya vizuri kuliko wakiwa hawapo.

Unataka big games zipi ambazo hawaperform ?
hizo big games ambazo zote tumeshinda tumepotezwa vibaya pamoja na kwamba tumeshinda mpira tunaomba uishe sisi hivi umeangalia kweli kocha mpya wa chelsea aneo lake la kiungo ukija na kwetu? yaani hata arsenal walitumudu sana kiungo mech zote mbili mpate mtu kama Ruben Neves pogba na bruno uone moto wake

mbele sancho,cavan na rashford au greenwood unaumia mapema sana
 
Watu wakuuza kazi kuwatoa kwa mkopo tu uza hizo species tupunguze watu kikosini wasio na faida.
Kwenye football kuna vitu viwili Current Ability (CA) na Potential Ability (PA).

Sasa unavyoona hizi timu zinatoa wachezaji kwa mkopo usidhani hawajui kwamba hao wachezaji hawajafikia uwezo wa kutumikia club husika. Sasa kuna mchezaji ukiangalia CA yake ni nzuri ila siyo kufikia level unayohitaji ila ukiangalia PA yake ni kubwa kuzidi CA kwahiyo kinachofanyika ni kumtoa kwa mkopo apate muda wa kucheza ili kuweza kufikia PA yake.

Ukiangalia kila timu ina aina na asili zake katika kutafuta mafanikio, kuna vilabu vinasajili wachezaji kulingana na CA kwa asilimia kubwa na vingine vinaangalia CA na PA ya mchezaji husika. Sasa uki-force vifanane ndiyo matusi kwa timu yanaanza baada ya kujifananisha na vilabu vingine.

Mfano: Borussia Dortmund wanapata mafanikio kifedha kupitia PA za wachezaji ambao wanawachukua wakiwa na CA ndogo na wakifikia PA zao wanawauza kwa timu zinazohitaji wachezaji wenye CA kubwa.
 
sosha akimpata Ruben Neves na ule usajili wa watu wawili aliofanya ubingwa anachukua msimu uliopita kakosa kidogo sana mapungufu ya kiungo na bek mech nne za waliomstar wa kishuka daraja zilimharibia
 
Huyo Ruben Neves hawezi kuwa sawa na Fred katika ukabaji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…