Hivi United kumpa Ole mkataba mpya haraka thumuni ni nini?
Kumfanya afurahi au nini hasa?.
Ilibidi apewe kandarasi mpya baada ya kufanya vizuri msimu huu unaokuja.
Tuchel alipewa mkataba mpya baada ya kubeba Champions League..
Sisi tunatoa toa tu mikataba kishamba..ndo maana hata wachezaji wetu majipu tunashindwa kuachana nao.