D A E M U S H I N
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 22,633
- 121,022
Ni yupi unadhani anafaa pale utd!?
hivi hawa designer tumewafanyia kosa lipi, tumekuwa na khofu mpaka nyakati za utambulisho wa jezi.
wangelitengeneza jezi nyeupe yenye mistari rangi nyekundu juu ingelivutia zaidi
View attachment 1864971
OKONKWO kama OKONKWO atawafaa sana
Nafikiri academy nyingi haziwekezi nguvu nyingi kuzalisha natural strikers badala yake zinazalisha Attacking players hasa ujio wa tiktack ya Barcelona na Spain ulionyesha wazi kuwa unaweza kupata ushindi bila striker na kuanzia hapo Strikers wazuri hawapatikani tena Central and Western Europe.inaonekana yupo vizuri na si ajabu scouting yetu kama kawaida imeshampitia kitambo sana (wazee wa kusita sita kufanya maamuzi), yaonekana ulimwengu wa soka umepatwa na uhaba wa ghafla wa washambuliaji wenye ubora ukilinganisha na dunia ile ya miaka 20 iliopita iliojaza center forward pamoja na striker wa kutosha kwa kila bara.
tuna washambuliaji vijana takribani wanne pale academy, klabu haina budi kuwatengenezea mazingira bora ya kukuza mchezo wao kwa kuwapeleka sehemu sahihi zaidi (naamini miaka minne ijayo tutautawala ulimwengu kwa kuwa na washambuliaji wenye ubora kuliko timu yeyote kama tutakuwa makini)
- shola shoretire
- elanga
- joe hugil
- charlie mcneill
upo sahihi na hiyo mifano yako ulioaiambatanisha, lakini kwetu sisi ni tofauti kwa sababu tumeshamsikia ole akizungumza juu ya suala la DNA.Nafikiri academy nyingi haziwekezi nguvu nyingi kuzalisha natural strikers badala yake zinazalisha Attacking players hasa ujio wa tiktack ya Barcelona na Spain ulionyesha wazi kuwa unaweza kupata ushindi bila striker na kuanzia hapo Strikers wazuri hawapatikani tena Central and Western Europe.
Hiyo Stockport County iko daraja la ngapi ?OFFICIAL: Will Fish has joined Stockport County on a season-long loan from Manchester United.
nadhani hii ni sababu nyengine kubwa inayochangia zaidi wachezaji wetu kutokuuzika kwa sababu ya kuwaandalia mazingira yasio ridhisha ya kumvutia mteja wa nje. Tupunguze hii tabia ya kuwapeleka kwa mkopo wachezaji kwenye ligi za chini na tunapaswa kuliangalia zaidi soko la nje ya nchi kama tunakhofu ya wachezaji wetu kutokuweza kupata nafasi kwenye vilabu vya daraja la premier.
nchi mfano wa germany, spain, italy, uholanzi na hata ureno wana ligi nzuri na zenye ushindani zitakazoweza kuwajenga wachezaji wetu kimbinu na uzoefu endapo watapambana.
ethan laird, teden mengi na wachezaji wengineo wenye future nzuri wanapaswa wapelekwe huko na si kuwapeleka portsmouth, derby, QPR n.k
View attachment 1864999
National LeagueHiyo Stockport County iko daraja la ngapi ?
adui wa amad ni daniel james na si rangi yake, kuondoka kwa james itakuwa ni faida kubwa kwa amad kwa sababu atapata dakika nyingi za kucheza, kinyume na hapo namuona akitolewa kwa mkopo msimu huu azidi kuwa mkakamavuUyo dogo kuna watu wanamchukulia poa kwakuwa ni mweusi.
Shida huwa inakuja utd inapotaka kusajili basi inatajiwa dau nono lkn ikitaka kuuza watu wanaweka ofa mbuzi, nawachora sn huu upuuzi.juventus walikuwa wapo tayari kumsajili msimu uliopita kwa dau bora zaidi ya hilo wanalotaka kulipa Paris, bahati mbaya corona iliwafilisi kifedha na kimipango.
Unaongelea punda kama punda wkt avatar yako ni punda halisiOKONKWO kama OKONKWO atawafaa sana
James a.k.a mkimbia hovyo.adui wa amad ni daniel james na si rangi yake, kuondoka kwa james itakuwa ni faida kubwa kwa amad kwa sababu atapata dakika nyingi za kucheza, kinyume na hapo namuona akitolewa kwa mkopo msimu huu azidi kuwa mkakamavu
brighton wameshaonyesha nia ya kumuhitaji daniel james ila tatizo ni maafikiano ya bei
matokeo yetu mabovu kwa takribani miaka 8 ukijumlisha na uongozi mbovu unaosimamia timu ndio chanzo cha yote hayo, takribani timu zote hutumia udhaifu huo kwani huamini pindi tunapokuwa sokoni iwe ni kwa kuuza au kununua huongozwa zaidi na hali ya uhitaji wa huduma uliokithiriShida huwa inakuja utd inapotaka kusajili basi inatajiwa dau nono lkn ikitaka kuuza watu wanaweka ofa mbuzi, nawachora sn huu upuuzi.
DuhNational League
United huwa hainunui wachezaji kwa bei halisi huwa tunapigwa.Shida huwa inakuja utd inapotaka kusajili basi inatajiwa dau nono lkn ikitaka kuuza watu wanaweka ofa mbuzi, nawachora sn huu upuuzi.