The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,480
- 98,527
Wako vzr ukweli usemwe tu, mda mrefu nilikuwa nawaangalia tangu Uefa Nations nikawaambia watu kwamba co muda mrefu England itafanya maajabu cz wako serious na wanachotaka na walipunguza mbwembwe zilizokuwa zikiwaharibia.Sijui wamefikaje fainali
Wana kelele sana mbwa hawa
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Umeipata ?Ngoja niingie machimbo..
Dogo fundi sana aseeLike iniesta huyu
Sometimes mchezaji anaweza kuwa naturally ni Attacking Midfielder lakini akapewa role ya kucheza km DM.Mkuu. Niwekee first 11 mmoja mmoja,, usiweke lundo la wachezaji.
Weka kikosi cha first 11....
.rashford.Cavani.Sancho.
Bruno..pogba.
Camaving.
Shaw.magwea.varane.bisaka.
Henderson.
Nipangie first 11.. Only wakiwa na double DM..
Sancho,, rashford. Pogba ,Bruno.
Niwekee hapa..
Unataka uniambie Dunia yetu kwa sasa wafungaji ni Ings na Kane tu.Ni kwl lakini hata ukichaa unatofautiana mkuu.
Kichaa msema peke yake tofauti na kichaa muokota makopo.
Man u wanahitaji striker..kumsaidia Cavan.
Na za kunyapia ni kwamba pesa za kumpata kanny hawana..
Ni bora kumpata ings kuliko kukosa striker kabisa.
Wee jamaa bado unafanyaga zile mishe zako za kusafirisha watu?Discussing how wet your pussy is and how much we are ready to fuvk you all night
Matunda vijana wanauza pale..nikirudi naungana nao.Ndio,..wewe bado unauza matunda?!
Ndy wanaopatikana kwa uhakika sokoni.Unataka uniambie Dunia yetu kwa sasa wafungaji ni Ings na Kane tu.
Ni kwlSometimes mchezaji anaweza kuwa naturally ni Attacking Midfielder lakini akapewa role ya kucheza km DM.
Umehamisha sana magoli,,, kwa sasa kuipata comment yako ile ni ngumu.Umeipata ?
Hebu kailete hiyo unayoikumbuka ?Umehamisha sana magoli,,, kwa sasa kuipata comment yako ile ni ngumu.
Ila nakumbuka ulisema mfumo wa diamond atacheza pogba ,Sancho, rashford na double DM.
Nikakupinga mm.
Anacheza vzr akiwa national team, ss sijui huku kwetu kuna nini.
Hata kwetu anacheza vizuri, bahati mbaya hatutaki kuonaAnacheza vzr akiwa national team, ss sijui huku kwetu kuna nini.
Mbona vilevile tu mzee..Anacheza vzr akiwa national team, ss sijui huku kwetu kuna nini.
Kinachom cost Mquire ni ile price tag £80mMbona vilevile tu mzee..
Yaani shida ni kuwa kuna wachezaji personally tunawachukia when United is concerned.
The same goes to Foden. Kwa nini hakuanza? Hata Grilish, what is special with saka aanze mbele yao?Na ili afaulu fainali afanye hivyo hivyo, lkn kule pembeni asianze Saka aanze Foden.