Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Huyu Mata wa nini tena...au ni ile ya "Kijiji ni lazima kiwe na wazee"??
Kijiji lazima kiwe na wazee, hii kazi wakiachiwa watoto tupu wanaweza kuharibu shughuli. Acha wapewe madini na waliowatangulia.

Kibongobongo tunachukulia soka ni kwenye pitch tu ila kiukweli mpira una mambo mengi yanaendelea nyuma ya pazia.

Mata kubaki ni habari njema, timu yetu imejaa vijana wadogo sana, kuwa na mchezaji mwenye influence kubwa kama Mata kwenye timu ni muhimu sana. Hili naliona hata kwa De Gea tusitegemee akauzwa miaka ya karibuni, De Gea ni moja ya wachezaji waliocheza na vizazi vingi United pia kimafanikio ya PL ndiyo watu wa mwisho katika kikosi cha sasa kushinda taji la PL na babu Fergie.

Kwa sifa anazopewa Mata na wachezaji wenzake unaona kabisa anastahili mkataba mpya kuendelea kubaki kwenye dressing room ya United.
 
I got you.
 
Hii ndo proof ya jinsi Ole alivyo clueless.

Hajui nini anafanya.
 
mnunuzi sijamuona labda tuwajaribu wolverhampton
Hahahahaa Degea hakuna timu inayoweza kumudu mshahara wake ($375k/weekly). Naamini ataleta instability eneo la golini msimu ujao, Ole atarudia ujinga wake wa kutokujua golikipa wake #1 ni yupi. Hii itawafanya wote wawili wawe wabovu zaidi watapoteza kujiamini wote.
 
So far, hii michuano ya euro kuna bwana mdogo wa ki-Belgiji anaitwa Jeremy Doku ameni-surprise sana. Sikuwahi kumfahamu kabla ila ana kipaji kikubwa sana.
leo ni mara yangu ya kwanza kumuona huyo bwana mdogo
amenikumbusha work rate ya shaun right phillips.
mbio, dribbling, nguvu, 1 vs 1 pia ni mzuri sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…