Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Sacho ni lingard aliyechangamka tu media zimemkuza ...

Subili EPL ianzee uone alivomzitoo ,EPL itamkataa mapema sanaa
 
Mpira bhana..

Tukishaona sajili kama hizi tunapata kimuhemuhe kinoma..december tu hapo tunakuwa tushakata moto..

I hope tutaanza vizuri na kuendelea vizuri..Ole akipata CB na kwa upendeleo DM,,aloo next season asilete utani.
 
Mimi nachoona David De Gea aonyeshwe mlango wa kutokea siyo kwa sababu ya mshahara wake bali kwa kiwango chake kuporomoka mno.
 
Mimi nachoona David De Gea aonyeshwe mlango wa kutokea siyo kwa sababu ya mshahara wake bali kwa kiwango chake kuporomoka mno.
Digea anatakiwa apate kocha anayejielewa, kaishakuwa predictable sana. haya maswala ya kutegemea uwezo wa wachezaji yanatucost sana.
yaani ni kama gari bila dereva.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…