Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Pale NYUMBU wa kuanza kikosi cha kwanza ndani ya Chelsea ni Bruno peke yake. Wengine wote ni matakataka tu
kikosi chetu cha kwanza ni wachezaji wanne tu ndio hawana uwezo wa kuanza kwenye timu yenu
  1. wan bissaka
  2. victor lindelof/ harry maguire (kwa heshima ya thiago na cesar)
  3. scott/ fred (kwa heshima ya ngolo na jorginho)
  4. greenwood
huo utakataka unatokea wapi?
 
Hakuna mtu humo ni takataka tu
️CDM suggestion of the day: Joao Palinha

Age: 25 years
Club: Sporting Lisbon
Nationality: Portugal

Joao Palhinha is coming off the best season of his career after helping Sporting to win the Primeira Liga title.
Statistically, he is cited by FBRef.com to have won the HIGHEST number of tackles (68) in the Portugese League

WhoScored.com have rated him as the 7th best player in the league based on performances

His 3.3 tackles per game last season is significantly higher than, say, Declan Rice’s 1.8 per game.
Another point to note, Palinha is JUST "35.5million euros"on the market according to Record

Another CDM candidate that perfectly fits all criteria United are in need of and probably be one of the best cheap options available. #mufcView attachment 1828572
 
Huyu Punguwani aka takataka ndio yuko serious, ama kuna mwingine anakuja?
ukiendelea kunukuu mfumo ule wa 3-4-3 nitakusulubu.
tuna mwalimu aliye serious dhidi ya mechi kubwa.
kazi kwako
Inst-image_2-9.jpeg
 
️CDM suggestion of the day: Joao Palinha

Age: 25 years
Club: Sporting Lisbon
Nationality: Portugal

Joao Palhinha is coming off the best season of his career after helping Sporting to win the Primeira Liga title.
Statistically, he is cited by FBRef.com to have won the HIGHEST number of tackles (68) in the Portugese League

WhoScored.com have rated him as the 7th best player in the league based on performances

His 3.3 tackles per game last season is significantly higher than, say, Declan Rice’s 1.8 per game.
Another point to note, Palinha is JUST "35.5million euros"on the market according to Record

Another CDM candidate that perfectly fits all criteria United are in need of and probably be one of the best cheap options available. #mufcView attachment 1828572
Mechi moja Tu mmeshamtamani kumsajili....mnataka kuwa kama sajili za yanga na GSM mfano kipa wa mwadui kafanya vizuri dhidi Yao Kwa kufuta penalty wamemsajili...
 
Hahaha unajua mkuu hii timu Kila siku inajadiliwa hapa lakini hatuoni mabadiliko yeyote Yani. Kwa hiyo tunaiweka kwenye kundi la takataka tu maana hakuna jipya la maana litafanyika hapa.

Na wahusika wanaojadili hii takataka watakuwa ni matakataka pia.

Ndio maana nikauliza "Matakataka mnajadili Nini hapa?"
#CFC
Ukishakunywa mataputapu huko kwenu majani ya chai na kushushia na veve basi unakuja kubwata kwenye uzi wetu..jinga sana wewe jamaa.
 
OFFICIAL: The away goals rule will be removed from all UEFA club competitions from the 2021/22 season. Ties in which the two teams score the same number of goals over the two legs will now have two 15-minute periods of extra time, and, if required, penalty kicks.
 
Joao Palhinha ni midfield mzuri sana ila ndiyo hivyo tutarundika midfielder wa ngapi kabla hatujatatua tatizo la kulia ?
jadon sancho ataletwa msimu huu na hilo ondoa wasiwasi kwa sababu klabu imedhamiria kukamilisha usajili wake ndio maana imeshatuma ofa mbili zinazokaribia kiwango kilichowekwa na borussia.

khofu yangu ni kipi kitakachofuata baada ya sancho, taarifa zisizo rasmi zinadai ya kwamba bajeti ya manchester united ni paundi millioni 150. Ukitoa paundi millioni 80-85 za usajili wa sancho utabakiwa na kiwango kidogo sana cha fedha kisichoweza kusajili wachezaji wawili kwa mkupuo endapo tutaelekeza nguvu zetu kwa varane au torres eneo la ulinzi wa kati na hapo hapo unahitaji proper DM.

zipo taarifa pia zinadai Ole anamuhitaji kieran trippier upande wa kulia.
wasiwasi wangu mkubwa kuna eneo tutakuja kulifanyia usajili msimu ujao na hapo tutakuwa tunaendeleza kosa lile lile tulilolizoea la kushindwa kutatua tatizo kwa muda sahihi(tuliacha usajili wa bruno mwaka juzi tukateseka, mwaka jana tukaacha usajili wa sancho)
 
ni press resistance wa uhakika (bahati nzuri au mbaya hatuna mchezaji mfano wake)
akipata timu ambayo haina presha kubwa atafanya vizuri sana
bayern walimnunua kwa fedha nyingi sana lakini alishindwa kuyafikia matarajio yao, huenda timu kubwa wataitumia rekodi yake na bayern kwenye kufanya uamuzi wa kuepukana naye.
  • everton
  • wolves
  • tottenham
zinaweza kuwa timu sahihi zaidi kwake
Hata Arsenal au Liver fresh tu kwake.
 
i second you mkuu..nilimuona jana kunamovement nzuri sana alidribble, alipiga long pass nyingi nzuri etc.... amezaliwa 95 yupo sporting kama sijakosea
yupo katika list ya DM wanaotafutwa na scouting yetu.
nazifuatilia mechi za ureno kwa sababu yake, nilikuwa nakerwa sana pindi asipochezeshwa.
afadhali jana nimemuona na kwa kweli amenivutia.

huko reddit mashabiki wanalaumu sana kwa nini kocha wa ureno alikuwa anamweka nje kwa sababu ya danilo na carvalho
 
jadon sancho ataletwa msimu huu na hilo ondoa wasiwasi kwa sababu klabu imedhamiria kukamilisha usajili wake ndio maana imeshatuma ofa mbili zinazokaribia kiwango kilichowekwa na borussia.

khofu yangu ni kipi kitakachofuata baada ya sancho, taarifa zisizo rasmi zinadai ya kwamba bajeti ya manchester united ni paundi millioni 150. Ukitoa paundi millioni 80-85 za usajili wa sancho utabakiwa na kiwango kidogo sana cha fedha kisichoweza kusajili wachezaji wawili kwa mkupuo endapo tutaelekeza nguvu zetu kwa varane au torres eneo la ulinzi wa kati na hapo hapo unahitaji proper DM.

zipo taarifa pia zinadai Ole anamuhitaji kieran trippier upande wa kulia.
wasiwasi wangu mkubwa kuna eneo tutakuja kulifanyia usajili msimu ujao na hapo tutakuwa tunaendeleza kosa lile lile tulilolizoea la kushindwa kutatua tatizo kwa muda sahihi(tuliacha usajili wa bruno mwaka juzi tukateseka, mwaka jana tukaacha usajili wa sancho)
Kama Jadon Sancho akija msimu huu atatuongezea kitu muhimu sana kikosini iwapo atakuja na kiwango chake cha BVB.

Naamini United wakipata modern fullback upande wa kulia tutakuwa na even distribution ya mpira uwanjani na itatupa wasaa wa kupunguza DMs au watakuwa na nafasi ya kuadvance zaidi kwa sababu timu zitatanua uwanja kupambana na Sancho kulia na Rashford kushoto.
 
Back
Top Bottom