D A E M U S H I N
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 22,633
- 121,022
Kwa tm anayocheza ni sawa cz haina presha yeyote lkn co kwa man Utd, mbn wachezaji wa namna hiyo wanajulikana mkuu.Sio wa kucheza timu kubwa umetumia kigezo gani mkuu? Sancho kwa sasa kwa upande wa kulia hana mpinzani stats zinazungumza.
Kipindi Bruno anacheza Lisbon huko walikuwa na pressure gani?..mbona amekuja united na amedeliver?..Kwa tm anayocheza ni sawa cz haina presha yeyote lkn co kwa man Utd, mbn wachezaji wa namna hiyo wanajulikana mkuu.
Bruno hata angekuwa Simba km unajua unajua tu, wachezaji classic huwa wanajulikana tm yyte wanayocheza, huyo Sancho aliuzwa pale City akapelekwa tm ndogo.Kipindi Bruno anacheza Lisbon huko walikuwa na pressure gani?..mbona amekuja united na amedeliver?..
Sancho ni mtu,tuache siasa..stats zake zinaongea
Aliuzwa akiwa bado mtoto sana..mtoto mwenye miaka 16/17 anaweza asionyeshe uwezo wake wote kwa muda huo..Bruno hata angekuwa Simba km unajua unajua tu, wachezaji classic huwa wanajulikana tm yyte wanayocheza, huyo Sancho aliuzwa pale City akapelekwa tm ndogo.
Waingereza bado sana.Shida ni hawa wachezaji wa Kiingereza wanaolelewa Kistar..kuna watu wanapiga kazi mbona fresh tu,inabidi tutumie umakini kuwaona.. Watu kama Phil Foden,Mason Mount,Kane displine yao kwenye mchezo ni ya tofauti kabisa.
Kuwa Muingereza sio tatizo..Scholes,Rooney,Ferdinand,Carrick hawa wote Waingereza
Sawa.Aliuzwa akiwa bado mtoto sana..mtoto mwenye miaka 16/17 anaweza asionyeshe uwezo wake wote kwa muda huo..
Mbona Salah aliuzwa na Mourinho na amekuja kuwa moto?..mifano ipo mingi.
Tumkatae Sancho kwa ishu nyingine lakini sio uwezo wake.
Una observation kama yangu.Jombaa, Waingereza ni wachezaji wanaokuzwa mno usiwaamini. Mimi ni moja kati ya mtu ninaopinga sana usajili wa wachezaji wa kiingereza based on observations kuna kipindi nilichowahi kuandika hapa huwa wanakuwa-evaluated kwa vipindi vifupi ktk career zao.
Kwa soka la sasa, Usiniulize nimetumia kanuni gani ila ukiwa na wachezaji wa kiingereza zaidi ya wanne kikosi cha kwanza ktk timu yako yaani ni lazima waanze panga pangua huwezi kushinda taji lolote lile kubwa. Hawana vipaji.
Waingereza tuwapate kwa njia ya kuwapandisha kupitia timu za watoto kama Marcus Rashford na Mason Greenwwood ila sio kupoteza pesa kuwanunua. Nikiona taarifa za Sancho Sky Sports wanavyoaandika upupu kumpamba moyo wangu unanung'unika sana jinsi vyombo vya habari vya kiingereza vinavyotumia platform kutangaza wachezaji wa kiingereza average kila siku.
Yeah Haaland mtu co hawa kina Sancho cjui rashford upumbavu mtupu.Waingereza bado sana.
Ni wachezaji wanafika level hawapigi hatua tena kwenda mbele. Na kuwauza ni shughuli pevu.
Kumleta Kane bora upambane aje Haaland. Unadhani Maguire ana thamani ya 80M tuliotoa? Au Sancho ana hiyo thamani?
Ole hapati challenge na magazeti ya UK kwasababu amewakumbatia hawa watu.
Hizi stats hata martial na rashford zinawabeba mnoSio wa kucheza timu kubwa umetumia kigezo gani mkuu? Sancho kwa sasa kwa upande wa kulia hana mpinzani stats zinazungumza.
Hana lolote mkuu co wa kucheza tm kubwa huyo, ngoja aje utaamini ninachosema.
KDBPFA wamempa KDB tuzo kwa vigezo vipi?...mbona BFernandes amemzidi kwenye stats?
Hiki kimekuwa kilio changu ha muda mrefu sana kuhusu pogba.Hivi Pogba akigoma kuongeza mkataba ina maana msimu ujao ataondoka bure sio?.
Tukimwingiza sokoni tutavuta kama kiasi gani hivi?..sidhani hata itazidi £30m.
Frankly speaking akiuzwa wala sitaumia..replacement yake tunaweza kutafuta kiungo mwenye kasi,anayeweza kukaba pia na ambaye offensive yuko poa na mwenye skills.
Nipe sababu zinazokufanya uione Dortmund ni timu kubwa, usitoke nje ya mstari natumai unanielewa nkisema hivyo.Dortmund ni Timu ndogo eeh!!??
Hiyo lazima waanze ndio tatizo kubwa la wachezaji wa kiingereza,hata kama kiwango kimeshuka.Jombaa, Waingereza ni wachezaji wanaokuzwa mno usiwaamini. Mimi ni moja kati ya mtu ninaopinga sana usajili wa wachezaji wa kiingereza based on observations kuna kipindi nilichowahi kuandika hapa huwa wanakuwa-evaluated kwa vipindi vifupi ktk career zao.
Kwa soka la sasa, Usiniulize nimetumia kanuni gani ila ukiwa na wachezaji wa kiingereza zaidi ya wanne kikosi cha kwanza ktk timu yako yaani ni lazima waanze panga pangua huwezi kushinda taji lolote lile kubwa. Hawana vipaji.
Waingereza tuwapate kwa njia ya kuwapandisha kupitia timu za watoto kama Marcus Rashford na Mason Greenwwood ila sio kupoteza pesa kuwanunua. Nikiona taarifa za Sancho Sky Sports wanavyoaandika upupu kumpamba moyo wangu unanung'unika sana jinsi vyombo vya habari vya kiingereza vinavyotumia platform kutangaza wachezaji wa kiingereza average kila siku.
Kama issue ni mataji nikukumbushe tu kuwa wakati Virgil Van Dijk anachukuwa hiyo tuzo 2019, Man City walichukuwa domestic treble msimu huo. Yaani EPL, FA Cup na Carabao Cup isitoshe walifika robo fainali katika UCL wakati Van Dijk alipata Champions League pekee. Unataka kusemaje hapo?KDB
PL winner
Carabao winner
CL final ...
Bruno ???????
Kaisaidia nini man united
KDB deserved
Timu ndogo sana iyo pale germany level za everton na westham huko au spursDortmund ni Timu ndogo eeh!!??
Hapo ndipo huwa wananichosha utasikia "Mashetani hao wekundu wanaenda kukipiga na... bila ya huduma ya mchezaji wao nyota Rashford" huwa najiuliza hivi tm yetu imefikia hatua Rashford ni mchezaji wa kutumainiwa!!!!Hiyo lazima waanze ndio tatizo kubwa la wachezaji wa kiingereza,hata kama kiwango kimeshuka.
Angalia mfano wa rashford tunaambiwa anacheza na majeruhi utadhani yeye ndio wa muhimu timu nzima,mbaya zaidi mfanya maamuzi ni ole.