ze-dudu
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 18,428
- 24,145
Cavani wa juzi ana bao 17......martial ana ngapi
Cavani wa juzi ana bao 17......martial ana ngapi
Na kuna mtu alisema humu rashford hafikishi bao 25 msimu mzima fainally yametimia
Ni heri arsenal inajulikana tangu enzi wanahitaji top 4 ili wakapate mgawo wa kushiriki CL,lakini kwetu sisi hii hali ni ngeni sanaBado hajafukuzwa tu.......
Hatuna tofauti na aseno tupo bize na faida kuliko mataji
Kwahiyo km kwenu mlishinda 1-0, ugenini mkafungwa 2-1 goma sare ilo au sio?
Hizi sheria mpya zimekuwa nyingi cku hz mpk basi.
Number 2 hakustahili kucheza mechi nyingi,kiwango chake kilikuwa chini sana muda mrefu.
Kajinga haka leo kamebanwa mbavu hatari..Kuna yule takataka Pain killer yuko wapi.
Je Wote hao wanamzidi uefa tino anjorin na billy gilmour?Cavani wa juzi ana bao 17......martial ana ngapi






hadithi ya marcus rashford ni ya kufikirisha kwa sababu tunaambiwa dogo anacheza huku akiwa bado anasumbuliwa na majeruhi ya bega kwa miaka miwili na ndio moja ya sababu kubwa inayopelekea acheze chini ya kiwango , kitendo cha kucheza huku akiwa na majeruhi kimekuwa kikipigiwa mfano na baadhi ya mashabiki(wengi wao wanamuona kama ni nembo sahihi ya uzalendo)Kama rashford alivyomaliza msimu akiwa kwenye kiwango cha chini,ndivyo ambavyo tuliona maguire akilazimishwa kucheza game after game kipindi akiwa hana kiwango cha kuridhisha.