Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kweli Rashidi ni mchezaji wa mechi kubwa hilo tumeliona leo walahi
. Greenwood, Bruno wote wametupia goli mbili mbili
Villarreal anakufa Leo vzr tu... Mashabiki wa man utd msiwe na waswas kwani nadhani mnafahamu rashford yupo na ni mchezaaji wa mechi kubwa.... Ataweka pia greenwood ataweka na Bruno na cavani pia watatupia mabao...
 
Gunna kama Gunna huyu huyu asiye jua kufanya Sub
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…