Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

HT. Villareal 1-0 united.

Villareal wana dakika 45 tu kunyanyua kwapa... Ole anapaswa kushinda hii game, imuongezee cv.
 
NYUMBU kama NYUMBU
20210526_105335.jpeg
 
Wabadilishane upande na greenwood
Greenwood ni bonge la upcoming player, aongeze bidii tu. Shida sio upande, tatizo la Rashford ni kutaka U-ronaldo wakati akili haitaki, yani sehemu ya kupiga pasi ye anataka asubirie kijiji Ili atembee nacho,ukiangalia boko nyingi za kupoteza mipira kizembe zilizotaka kuicost team zimetokea kwake.
 
Greenwood ni bonge la upcoming player, aongeze bidii tu. Shida sio upande, tatizo la Rashford ni kutaka U-ronaldo wakati akili haitaki, yani sehemu ya kupiga pasi ye anataka asubirie kijiji Ili atembee nacho,ukiangalia boko nyingi za kupoteza mipira kizembe zilizotaka kuicost team zimetokea kwake.
Sema nimeona bora angeanza fred pogba angetokea benchi...
 
Greenwood ni bonge la upcoming player, aongeze bidii tu. Shida sio upande, tatizo la Rashford ni kutaka U-ronaldo wakati akili haitaki, yani sehemu ya kupiga pasi ye anataka asubirie kijiji Ili atembee nacho,ukiangalia boko nyingi za kupoteza mipira kizembe zilizotaka kuicost team zimetokea kwake.
Sijui ni kwanini habadiliki. Ndio maana natamani atoke Pogba asogee mbele. Maana Pogba kusaidiniana na McTominay bado naona ni shida na yeye ndio kasababisha kosa mpaka ikapatikana foul iliyozaa goli.
 
Back
Top Bottom