Villareal ndiyo mabingwa wa UropaIlikuwa muhimu sana kushinda leo ili mechi ya mwisho icheze timu B, wakali wakijiweka sawa kwa final
Ubingwa wa Europa league tutabeba Jombaa. Haya matokeo tunayoyapata kwa sasa wachezaji wetu wapo ktk relaxation mood.Villareal ndiyo mabingwa wa Uropa
Msimu ujao tukipinduka nae yeye na Harry Maguire kama mabeki tegemeo hatuwezi kubeba kombe lolote lile ni walinzi wadhaifu sana pia wana makosa ya kijinga na kiufundi mengi sana.Hamna beki pale
Nasapoti kwa asilimia miaVillareal ndiyo mabingwa wa Uropa
Ngoja mkuu tucheze fainali kisha kila mmoja aje na upembuzi wake yakinifu nini kifanyike ili next season tuende toe to toe na kina City kisawasawa na sio kwa kubahatisha..Msimu ujao tukipinduka nae yeye na Harry Maguire kama mabeki tegemeo hatuwezi kubeba kombe lolote lile ni walinzi wadhaifu sana pia wana makosa ya kijinga na kiufundi mengi sana.
Kuna mabeki wazuri sana wapo sokoni na bei zao ni ndogo kabisa. Wapo very strong, aggressive & faster (pace) - Cristian Romero, 23 & Sven Botman, 21.


Ubingwa wa Europa league tutabeba Jombaa. Haya matokeo tunayoyapata kwa sasa wachezaji wetu wapo ktk relaxation mood.
Tayari walikuwa wameingia top 4 kabla ya michezo minne ya mwisho hakukuwa na haja yoyote ile ya kukamia unless for "ego massaging" ya kumaliza nafasi ya pili. Kitu ambacho hakina maana, EPL mtu wa pili na wanne hakuna tofauti.
Ngoja mkuu tucheze fainali kisha kila mmoja aje na upembuzi wake yakinifu nini kifanyike ili next season tuende toe to toe na kina City kisawasawa na sio kwa kubahatisha..
kwa mara ya kwanza niliinuka kwenye kiti kupiga makofi baada ya hili goli la cavan.
Umemsahau KoundeMsimu ujao tukipinduka nae yeye na Harry Maguire kama mabeki tegemeo hatuwezi kubeba kombe lolote lile ni walinzi wadhaifu sana pia wana makosa ya kijinga na kiufundi mengi sana.
Kuna mabeki wazuri sana wapo sokoni na bei zao ni ndogo kabisa. Wapo very strong, aggressive & faster (pace) - Cristian Romero, 23 & Sven Botman, 21.
Sijamsahau ila huyu bei yake si chini ya €60M halafu kiubora hana tofauti na Cristian Romeru au Sven Botman ambao hawa wanapatikana kwa kiasi chini ya €40M kila mmoja.Umemsahau Kounde
Msimu ujao tukipinduka nae yeye na Harry Maguire kama mabeki tegemeo hatuwezi kubeba kombe lolote lile ni walinzi wadhaifu sana pia wana makosa ya kijinga na kiufundi mengi sana.
Kuna mabeki wazuri sana wapo sokoni na bei zao ni ndogo kabisa. Wapo very strong, aggressive & faster (pace) - Cristian Romero, 23 & Sven Botman, 21.
Msimu ujao tukipinduka nae yeye na Harry Maguire kama mabeki tegemeo hatuwezi kubeba kombe lolote lile ni walinzi wadhaifu sana pia wana makosa ya kijinga na kiufundi mengi sana.
Kuna mabeki wazuri sana wapo sokoni na bei zao ni ndogo kabisa. Wapo very strong, aggressive & faster (pace) - Cristian Romero, 23 & Sven Botman, 21.