Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Ilikuwa muhimu sana kushinda leo ili mechi ya mwisho icheze timu B, wakali wakijiweka sawa kwa final
 
Dagaa kutunza clean sheet imekuwa ni sawa na kutafuta bikra kwa malaya.
 
Villareal ndiyo mabingwa wa Uropa
Ubingwa wa Europa league tutabeba Jombaa. Haya matokeo tunayoyapata kwa sasa wachezaji wetu wapo ktk relaxation mood.

Tayari walikuwa wameingia top 4 kabla ya michezo minne ya mwisho hakukuwa na haja yoyote ile ya kukamia unless for "ego massaging" ya kumaliza nafasi ya pili. Kitu ambacho hakina maana, EPL mtu wa pili na wanne hakuna tofauti.
 
Hamna beki pale
Msimu ujao tukipinduka nae yeye na Harry Maguire kama mabeki tegemeo hatuwezi kubeba kombe lolote lile ni walinzi wadhaifu sana pia wana makosa ya kijinga na kiufundi mengi sana.

Kuna mabeki wazuri sana wapo sokoni na bei zao ni ndogo kabisa. Wapo very strong, aggressive & faster (pace) - Cristian Romero, 23 & Sven Botman, 21.
 
Msimu ujao tukipinduka nae yeye na Harry Maguire kama mabeki tegemeo hatuwezi kubeba kombe lolote lile ni walinzi wadhaifu sana pia wana makosa ya kijinga na kiufundi mengi sana.

Kuna mabeki wazuri sana wapo sokoni na bei zao ni ndogo kabisa. Wapo very strong, aggressive & faster (pace) - Cristian Romero, 23 & Sven Botman, 21.
Ngoja mkuu tucheze fainali kisha kila mmoja aje na upembuzi wake yakinifu nini kifanyike ili next season tuende toe to toe na kina City kisawasawa na sio kwa kubahatisha..
 
Nenda kabebe sasa
Ubingwa wa Europa league tutabeba Jombaa. Haya matokeo tunayoyapata kwa sasa wachezaji wetu wapo ktk relaxation mood.

Tayari walikuwa wameingia top 4 kabla ya michezo minne ya mwisho hakukuwa na haja yoyote ile ya kukamia unless for "ego massaging" ya kumaliza nafasi ya pili. Kitu ambacho hakina maana, EPL mtu wa pili na wanne hakuna tofauti.
 
Jini lile
IMG-20210519-WA0104.jpg
 
Msimu ujao tukipinduka nae yeye na Harry Maguire kama mabeki tegemeo hatuwezi kubeba kombe lolote lile ni walinzi wadhaifu sana pia wana makosa ya kijinga na kiufundi mengi sana.

Kuna mabeki wazuri sana wapo sokoni na bei zao ni ndogo kabisa. Wapo very strong, aggressive & faster (pace) - Cristian Romero, 23 & Sven Botman, 21.
Umemsahau Kounde
 
Msimu ujao tukipinduka nae yeye na Harry Maguire kama mabeki tegemeo hatuwezi kubeba kombe lolote lile ni walinzi wadhaifu sana pia wana makosa ya kijinga na kiufundi mengi sana.

Kuna mabeki wazuri sana wapo sokoni na bei zao ni ndogo kabisa. Wapo very strong, aggressive & faster (pace) - Cristian Romero, 23 & Sven Botman, 21.

Harry maguire huwa sina shida nae nina shida na lindelof,scott na fred hiz mech kadhaaa naanza kuona wana shida wanapoteza sana mipira kama viungo wanawapa hatar mabeki
IMG_0437.jpg

IMG_0438.jpg

IMG_0439.jpg

IMG_0440.jpg

IMG_0441.jpg

IMG_0442.jpg

IMG_0443.jpg

IMG_0444.jpg

IMG_0445.jpg
 
Msimu ujao tukipinduka nae yeye na Harry Maguire kama mabeki tegemeo hatuwezi kubeba kombe lolote lile ni walinzi wadhaifu sana pia wana makosa ya kijinga na kiufundi mengi sana.

Kuna mabeki wazuri sana wapo sokoni na bei zao ni ndogo kabisa. Wapo very strong, aggressive & faster (pace) - Cristian Romero, 23 & Sven Botman, 21.

Hapo angalia ktk hayo matukio humuon fred wala scott ndan ya 18 au nje ya 18 kisha bissaka anavutika ndan kusaidia anaacha mtu kushoto kwake
IMG_0446.jpg

IMG_0447.jpg

IMG_0448.jpg
 
Back
Top Bottom