Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Waungwana pana app moja nadhani iliitwa jsoccar walikuwa wanatoza kiasi ya tshs 2000 walinifaa sana kuangalia game sasa pana mtu alichezea simu yangu kamepotea hako ka link kama pana mtu humu anatumia hiyo app tafadhali anijuze niweze kudownload hiyo kitu.
 
Kichapo ni kichapo tu hata mkijisaulisha
 
Kocha wa viungo hafanyi kazi yake kwa usahihi kila mech viungo wanapoteza sana mipira
Jana mtu aliyeflop zaidi kuliko wote ni Fred probably ni Fatigue kacheza mfululizo toka August 2019 non stop unategemea kabisa kutokuwa sawa.

Recently Fred amekuwa na makosa mengi sana sababu ya uchovu na kukosa umakini.

Upande wa kushoto na kulia jana fullbacks na wings tulikuwa hovyo sana hatukuwa na threat yoyote uwanjani.

Ila bora angecapitalize game ya Leceister tungeweza kupata ushindi kuliko hii game ya Liverpool.

Tulikuwa hovyo sana everywhere.
 
Kocha wa viungo hafanyi kazi yake kwa usahihi kila mech viungo wanapoteza sana mipira
Kitanzi cha mwisho ni pale alipomtoa Baily akamwingiza Matic tukawa Vulnerable zaidi nyuma kwa kina Salah na Mane kwa sababu hakuna tena mwenye speed uwanjani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…