Martial na rashiford wamepata opportunities za kucheza na top class figures hapo utd, na kwenye national teams, hawajifunzi kwa nini. experience sio factor ya muda pekee, fursa ni factor inayo carry significant weight. hao watu ukumbuke mpaka sasa wanapewa nafasi ya kuanza mbele ya cavan.
second, hawana uniformity, ni ma volatile kwelikweli kwenye character zao uwanjani.