Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Utabiri wako siku zote huwa unaenda tofauti sana.
Niinavyo ya kesho

Manutd 2-1 Liverpool

Wanaotegemea ManCity kesho anatawazwa EPL ubingwa itabidi wasubiri sana na wiki ijayo atafungwa na Chelsea

By the end of next week ManCity atakuwa katimuliwa Champions league na PSG na EPL tofauti ya points itakuwa 7 tu kutoka 13 za leo hii kati yake na Manutd.
 
napenda nihukumiwe kwa ninachokiandika na si username ninayotumia ndio maana nabadili majina mara kwa mara. kuna tabia imezuka humu ndani ya JF kupeana credit ovyo kwa sababu tu ya nguvu ya username (ndio naipinga kampeni hiyo kwa njia hii)
teh teh teh
=============
nilimpima na nagelsmann pamoja na verified name ila nikaona bado mizani inaelekea kwenye jina la klopp,
tusisahau klopp ni muajiriwa tu wa liverpool na si mwanachama, hata mwanzoni sisi tulimtafuta klopp ila mikakati yetu hakuvutiwa nayo ndio akaenda liverpool mbeleni
Swali langu ni nje ya uzi huu ila unabadilishaje username?
 
Kama manchester united atamaliza ligi akiwa kwenye nafasi ya pili basi ndani ya miwili miwili ijayo wanaweza kubeba ubingwa watahitaji kuboresha kikosi na kutomfukuza kocha kazi inaonekana timu inaunganika makosa madogo madogo yapo ila walau sasa timu inaonekana wapi wanahitaji watu
 
Swali langu ni nje ya uzi huu ila unabadilishaje username?
Screenshot_20210502-092016.jpg
 
Unawashangaa liverpool wakati hata nyie man u mpo hivyo hivyo. Refer msimu wa 2018/2019 mlikubali kufungwa old trafford 0-2 na city na mkakosa top 4 ilimradi tu liverpool asiwe bingwa na Man shity akachukuwa ubingwa Kwa tofauti ya 1 point
Binafsi sina shida na City tukimpa ubingwa kesho. Japo nitafurahi zaidi kama tukimpoteza maboya L'pool ili asishiriki michuano ya Ulaya msimu ujao.

Msimu wa mwaka 2009/10, Chelsea alichukua ubingwa kwa points 86 wakati sisi United tulikuwa na points 85. City alitusaidia kumfunga Chelsea mechi zote mbili home & away.

L'pool wakatufanyia roho mbaya Steven Gerrard alitoa boko makusudi kwa kumpasia Didier Drogba ili Chelsea washinde wabebe ubingwa. Tulikuwa na utofauti wa point moja tu kama mechi ingeisha sare sisi tungebeba kombe.
 
Match day

I hope OGS ataanza na kile kikosi kilichomfunga Roma 6 - 2 ili timu iwe na balance nzuri, langoni akikaa yeyote either Degea au Henderson poa tu

Pogba + Bruno + Cavan wataleta mangamizi ktk lango la Liverpool

Natarajia Greenword ataingia 2nd half kutapelekea madhara zaidi kwa vijana wa Jurgen Klop

Glory Glory Man Utd
 
Match day

I hope OGS ataanza na kile kikosi kilichomfunga Roma 6 - 2 ili timu iwe na balance nzuri, langoni akikaa yeyote either Degea au Henderson poa tu

Pogba + Bruno + Cavan wataleta mangamizi ktk lango la Liverpool

Natarajia Greenword ataingia 2nd half kutapelekea madhara zaidi kwa vijana wa Jurgen Klop

Glory Glory Man Utd
Rashford has not looking sharp recenty ..

Ila tuanze naye tu,dogo Mason aingie 2nd half.
 
Uko Lowry hotel na Old Traford inasemakana mashabiki wengi wanandamana #GlazersOUT

Pia kuna breaking news baadhi ya mashabiki wameingia ndani ya uwanja wa Old Traford kuonyesha msimamo wa #GlazersOUT

Hope polisi wanatafanikiwa kutuliza hali utulivu urejee

Ila all in all mashabiki wa UTD ni nomaa ktk kukinukisha, familia ya woordward wanawatambua vyema, sasa zamu ya #Glazers
 
Back
Top Bottom