Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kuna watu walimponda sana Cavan wakati anatoka PSG ,,

Now siwaoni wala kuwasikia tena.

--Mzee.
--Majeruhi.
--Alikuwa benchi PSG.

man u tulikuwa na mshambuliaji no 9 lakini sio striker no 9.

sasa ndy imejidhihirisha tulikuwa tunahitaji no 9 aina ya cavani.

Shots.
Header zote goal..
 
1st goal. bruno
1619754180856.gif
 
Back
Top Bottom