Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Nimekupata mkuu..
Kampuni yoyote kunakuwa na board ambayo ndio inafanya decision, Ikiwemo kuchagua CEO.

Board of directors ya man U ni hawa imejaa Familia ya Glazer
  • Avram Glazer – Executive Co-Chairman and Director
  • Joel Glazer – Executive Co-Chairman and Director
  • Edward Woodward – Executive Vice Chairman and Director
  • Richard Arnold – Group Managing Director and Director
  • Cliff Baty – Chief Financial Officer
  • Kevin Glazer – Director
  • Bryan Glazer – Director
  • Darcie Glazer Kassewitz – Director
  • Edward Glazer – Director
  • Robert Leitão – Independent Director
  • Manu Sawhney – Independent Director
  • John Hooks – Independent Director
 
Pep ana mabaya gan mkuu...?
Mambo ni mengi ila scandal yake kubwa ni kuhusu yeye na Tito Villanova, hawa jamaa walikuwa marafiki kwa miaka 28 kama Tito mwenyewe anavyosema na wameshinda mataji pamoja pale Barcelona.

Pep akawa Kocha wa Barcelona, baadae akaondoka, alivyoondoka Tito akamrithi ile nafasi, Pep kumbe kile kitu kimemuuma akawa kama anampotezea Tito, imefika Stage mpaka Tito anaumwa Cancer jamaa anampotezea mwenzake.

Kuna Kipindi Tito Alilazwa New York kwa hio cancer, sehemu moja ambayo Pep alikua yupo likizo anakula Bata na pep hakwenda kumuona,

Then pep akakanusha kwenye vyombo vya habari kuwa si kweli hauendi kumuona rafiki yake na akawa anasema ni plot za Barcelona kumchafua,

Tito mwenyewe akatoka kwenye vyombo vya habari kutoa kauli hii

"People aren't interested in personal matters, but Pep got it wrong and I'm surprised by his comments," Vilanova told AS. "No one on the board used my illness to attack him. The club tried to help me as much as possible.

"He visited me once in New York when I'd just arrived, but during my recovery from the operation I was there for two months and I didn't see him. He's my friend and I needed him, but he wasn't there for me. I would have done things differently. I won't say anything else about this."

Baadae Tito akafariki Dunia.

Zipo pia story zake za unafiki ikija catalan na Uae, scandal zake za wachezaji wa ki Africa toka kwa wachezaji mbalimbali, treatment yake kwa ibra etc

As a Human Being Ole ni mtu mzuri hata wachezaji ambao wameondoka Man U kama lukaku huwaoni wakimponda.
 
Madrid anarekebisha uwanja wake bado effect za corona na nini ndo visababishi..hizi timu zinaendeshwa kwa gharama kubwa sana..faida inayopatikana inatengwa kidogo kulipa deni.faida ni ndogo kuliko deni,so kulimaliza ni si kazi ndogo.
Daah hapa kwenye deni ndio nawakumbuka wale washenzi wa kiarabu waliotaka kuinunua club na kufuta deni lote .......wale sio watu wa kawaida hapa duniani
 
Makocha wote hao walipata muda wa kujiandaa kutoa speech zao, Ole habari inaibuka ni dakika 20 kabla ya mchezo, kifupi yeye katoa maneno yasiyo ya kukaririshwa kaongea cha moyoni,

Na huyo Pep unaemsifia kwanini Anaitwa Bald fraud? Ni moja kati ya watu wenye mafanikio ya kisoka ila ni binadamu mbaya, yeye na ole ni mbingu na ardhi.
Mdau naomba speech ya ole kwenye ili saga la esl....samahani lakini
 
Mdau naomba speech ya ole kwenye ili saga la esl....samahani lakini
Quote yake kabla ya mechi

I haven’t looked into it, I’ve just been focusing on this game so I just need to sit down and see what it is and the club will probably comment on it later.


“As I said, I’ve not seen it. I don’t really know all the ins and outs so I need to find out and then the club or clubs will issue a comment probably.”
 
Mdau naomba speech ya ole kwenye ili saga la esl....samahani lakini
Baada ya hapo kukawa na kikao cha timu na Ed, tetesi wamezinguana kilichofuatia Ed amejiuzulu.

Sijaona Man city, Chelsea, arsenal wala Spurs aliojiuzulu sana sana MOU kati ukiwa.
 
Mambo ni mengi ila scandal yake kubwa ni kuhusu yeye na Tito Villanova, hawa jamaa walikuwa marafiki kwa miaka 28 kama Tito mwenyewe anavyosema na wameshinda mataji pamoja pale Barcelona.

Pep akawa Kocha wa Barcelona, baadae akaondoka, alivyoondoka Tito akamrithi ile nafasi, Pep kumbe kile kitu kimemuuma akawa kama anampotezea Tito, imefika Stage mpaka Tito anaumwa Cancer jamaa anampotezea mwenzake.

Kuna Kipindi Tito Alilazwa New York kwa hio cancer, sehemu moja ambayo Pep alikua yupo likizo anakula Bata na pep hakwenda kumuona,

Then pep akakanusha kwenye vyombo vya habari kuwa si kweli hauendi kumuona rafiki yake na akawa anasema ni plot za Barcelona kumchafua,

Tito mwenyewe akatoka kwenye vyombo vya habari kutoa kauli hii

"People aren't interested in personal matters, but Pep got it wrong and I'm surprised by his comments," Vilanova told AS. "No one on the board used my illness to attack him. The club tried to help me as much as possible.

"He visited me once in New York when I'd just arrived, but during my recovery from the operation I was there for two months and I didn't see him. He's my friend and I needed him, but he wasn't there for me. I would have done things differently. I won't say anything else about this."

Baadae Tito akafariki Dunia.

Zipo pia story zake za unafiki ikija catalan na Uae, scandal zake za wachezaji wa ki Africa toka kwa wachezaji mbalimbali, treatment yake kwa ibra etc

As a Human Being Ole ni mtu mzuri hata wachezaji ambao wameondoka Man U kama lukaku huwaoni wakimponda.
Wewe ni kilaza tu ..


Una wivu na pep
 
Huu sasa siyo ushabiki bali ni ujambazi
PSX_20210422_125701.jpg
IMG_20210422_125730_174.jpg
 
Back
Top Bottom