Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Sijaona kwa namna gani vilabu vinavyobaki kwenye ligi ya nyumbani vitafaidika na uchumi mkubwa wa super ligi zaidi ya hivyo vitano vitakavyokuwa vikiingia kwa kupishana kila mwaka.

Angetolea mfano kama yeye angekuwa rais wa norwich angeikubali super league kwa misingi gani. Maana zaidi ya hapo naona wameamua wakubwa kutengewa msosi wao meza kuu wakati watoto wanakaa kwenye mkeka na akina mama.

Kama issue ilikuwa attractiveness ya football,epl ilianza kuliweka hilo sawa kwa kubalansi ushindani uwanjani kati ya vigogo na underdogs walau kwa asilimia kubwa tofauti na la liga n.k.
 
★David Beckham speaks out against the Super League

#GGMU

manutd |
IMG_20210420_121131_228.jpeg
 
★50% of TV rights go to UEFA as the organisers of the competition and the remaining 50% goes to the 32 teams.

Apparently, that's why top clubs want to break away and join a 'new organiser' to generate more money for themselves..★

#GGMU

manutd |
 
Real football has been losing fans to football video games broo
The new generation prefer playing videogames than watching football
Real football is losing viewers and losing money than it spends
 
★50% of TV rights go to UEFA as the organisers of the competition and the remaining 50% goes to the 32 teams.

Apparently, that's why top clubs want to break away and join a 'new organiser' to generate more money for themselves..★

#GGMU

manutd |
If they want them to stay 80% should go to clubs and 20% to the UEFA.

But even in the EPL big clubs are not compensated as they ought to and debts keep piling up.

The whole structure simply unsustainable
 
All I will say is that, I don't really believe football is for the fans only. All clubs worldwide can't tell me they aren't looking for money.
Days of football been for fans is over maybe 1990s but this 21st century football is business
 
Huyu perez anang'ang'ania haya mashindano ya hizi timu kubwa hizi timu zikianza kukutana kila mech zitakuwa za kawaida ni raha sana manchester city kukutana na madrid kila baada ya miaka miwili au mitatu na zaidi sio kila mwaka watu wanakuwa na ham na visasi vya miaka mitano nyuma
Mdau mfano mdogo tu wa timu kuwa na hamu ya kulipiza kisasi ni juzi hapa game ya psg na bayern lile pira lililopigwa kwenye iyo michuano yao hutoliona kamwe.....
 
Real football has been losing fans to football video games broo
The new generation prefer playing videogames than watching football
Real football is losing viewers and losing money than it spends
Si kweli....
 
JUST IN: UEFA is preparing a counter attack to Super League. UEFA is working with an investment funding company to come up with a new LOC that would have an initial budget of €4.5 billion but could go up to €7 billion #mufc #mujournal

[ @mohamedbouhafsi ]
 
All I will say is that, I don't really believe football is for the fans only. All clubs worldwide can't tell me they aren't looking for money.
Days of football been for fans is over maybe 1990s but this 21st century football is business
Spot on. UEFA pays participating teams an average minimum of $30 M but the breakaway super league will guarantee participating teams a minimum of $1BILL per annum.

At current pyramid, top clubs will die because revenue is much less than running costs.

Real Madrid president has predicted all top clubs will collapse by 2024 because of the unsustainable debt and all the UEFA can dream up to prop up revenue is to burden players with more games, more air travel mileage and more carbon print by increasing participating teams from 32 to 36 abolishing the traditional group stages among other stupid ideas but no effort to address the revenue distribution problems behind the breakaway effort which is more of a protest.
 
JUST IN: UEFA is preparing a counter attack to Super League. UEFA is working with an investment funding company to come up with a new LOC that would have an initial budget of €4.5 billion but could go up to €7 billion #mufc #mujournal

[ @mohamedbouhafsi ]
The issue of more money not the root of conflict but the distribution is a big issue.

Big clubs want a guarantee of $1Biill per club per annum which UEFA can dream of while the breakaway pyramid offers.

Problem for UEFA is playing politics with distribution of cash. It takes too much while insisting on equitable distribution among clubs for crumbs.
 
Hii kitu ya Super League nadhan inawatikisa tu uefa ili waongeze mzigo
JUST IN: UEFA is preparing a counter attack to Super League. UEFA is working with an investment funding company to come up with a new LOC that would have an initial budget of €4.5 billion but could go up to €7 billion #mufc #mujournal

[ @mohamedbouhafsi ]
 
Wasiwasi wangu huenda antonio conte akatafuta mwelekeo mwengine wa kimaisha, Inter milan bado wanamkumbuka jose kwa kile alichowafanyia hivyo basi bado milango ya kumrudisha ipo wazi ikitokezea Conte ameamua kuondoka na kuelekea tottenham hotspurs.
Huwa nafarijika sana nikiona kijana wa umri wangu kama Ryan Mason (29) akiaminiwa na majukumu makubwa.

I'm looting for him Daniel Levy ampe nafasi walau kwa mkataba wa mwaka mmoja tu.
 
★wenzetu washaanza kujitoa

BREAKING NEWS: Chelsea are LEAVING the Super League.
They are currently preparing documentation to request withdrawal from the ESL.★

#BBC
#SkySports
#Times

manutd |
Mara paaap perez anajikuta yupo peke yake na timu zake zile sita za epl zimejitoa
 
Back
Top Bottom