Southern Highland
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 15,924
- 27,165

ROMAN ABRAMOVICH"I will buy old Trafford to be the training ground of Chelsea players if Chelsea won champions League this year

ROMAN ABRAMOVICHHa ha ha haameamka tena.
Phil Jones was spotted by our photographers as Manchester United trained ahead of the Europa League quarter-final second leg with Granada.
View attachment 1752263
Haiwezekani hiyo! Kocha mwenyewe huyo?Jambo la kutufanya tutwae ubingwa ni kushinda mechi zote ambazo tutaishia point 87 wakati Man City anahitaji mechi nne tu kuzifikia hizo points.
Ili tutwae ubingwa tunatakiwa kushinda mechi zote halafu Man city apoteze walau mechi tatu zijazo ni jambo rahisi hilo ?
Umenichekesha ila nakuunga mkono sana!ina maana dunia nzimaa nambari saba pekee mwenye ubora aliyebakia ni huyo jadon sancho?
==============
hiyo pesa wapewe juventus paundi millioni 25 kwa ajili ya cristiano ronaldo, paundi 25 millioni nyengine apewe ya mshahara wake, naamini lile zee litatupa magoli 20 ya uhakika kupitia viungo vyake vyote vya mwili
ukata huu wa corona kutoa hela ndefu kwa chezaji la kiengereza ni zaidi ya kamari.
najua kuna watu wataniona nimechanganyikiwa.
Umetumia vigezo gani?
Umetumia vigezo gani?
Anaonyesha namna ilivyo gumu kwa Chelsea kupenya.ROMAN ABRAMOVICH
"I will buy old Trafford to be the training ground of Chelsea players if Chelsea won champions League this year
Hivi kuna asiyeiogopa Chelsea kwa sasa?Anaonyesha namna ilivyo gumu kwa Chelsea kupenya.
Ollachuga aje kumsikiliza Boss wake hapa mana aliongea sn Ole alipotuambia kwamba hatuna nafasi ya kushinda EPL.ROMAN ABRAMOVICH
"I will buy old Trafford to be the training ground of Chelsea players if Chelsea won champions League this year



Hahahahaaaina maana dunia nzimaa nambari saba pekee mwenye ubora aliyebakia ni huyo jadon sancho?
==============
hiyo pesa wapewe juventus paundi millioni 25 kwa ajili ya cristiano ronaldo, paundi 25 millioni nyengine apewe ya mshahara wake, naamini lile zee litatupa magoli 20 ya uhakika kupitia viungo vyake vyote vya mwili
ukata huu wa corona kutoa hela ndefu kwa chezaji la kiengereza ni zaidi ya kamari.
najua kuna watu wataniona nimechanganyikiwa.


Chukua huyo kiumbe thank me later.Hansi Flick confirms he wants to leave at the end of the season
Huyu anaenda kuwa kocha wa tim ya taifa