Maandiko ambayo yataprove kama Partey aligombewa ama la?
Johan Cruyf alitaka kumsajili Henry akiwa kinda, Joan Laporta alitaka kumsajili Henry mwaka 2003. Wakaja mwaka 2006 kumfuata tena ila Henry akagoma na badala yake akasaini miaka 4 Arsenal.
David Dein akaondoka na Wenger akawa mguu nje mguu ndani Henry akabadili mawazo akasaini Barcelona 2007.
A single club imefuatilia sahihi ya mtu mmoja kwa muda gani? Ni ajabu ikiwa yenyewe imekuja kutaka kumsaini mchezaji huyo huyo? Tena akiwa na miaka 29.
Kama umesoma kila nilichoandika means utakua umeona wachezaji ambao United iliwataka ila wachezaji wakaopt kwenda timu zingine so Amad, Bruno, Ighalo, Pellistr, Telles , De Beek ni wachezaji ambao United ikawapata. Wangapi wanapata game time? Wangapi wana output iliyotarajiwa?
Aouar hakutakiwa na timu moja, wakati Arsenal inapeleka ofa ilikua klabu yake yenyewe inataka abaki, kulikua na fununu za Juve na Barca kumtaka. So haikua Arsenal pekee. Kuhusu Partey, usajili wake ulikua last minute resort kuwatuliza munkari mashabiki so angeweza sajiliwa yeyote yule ili mradi mashabiki wapunguze kulalama na yeyote ambaye asingekua na upinzani.
Wewe mwenyewe unasema umenipa mifano ya wachezaji wawili wakubwa.... Hapa kwenye ukubwa hapa sometimes timu hazimfuati mchezaji kwakua huyo mchezaji ni mkubwa anakua anavutia klabu zenye maono ya ushindi na au pesa. United miaka yote ina pesa ila hii ya Ole imekosa maono, hili linaweza jireflect hata dirisha lijalo.