Analyse
JF-Expert Member
- Jan 19, 2014
- 17,641
- 47,660
Naona umecheka. Wewe ni maiti mkuu?Asante Leeds??acha kuchekesha maiti
Naona umecheka. Wewe ni maiti mkuu?Asante Leeds??acha kuchekesha maiti
Hivi kumbe mliliwaga sita!! ..dah mda unaenda.Zile goli sita dhidi ya Spurs bado zinaniuma..Kesho inabidi tufanye kitu..Mourinho huwa ana maneno ya shombo sana.
Hawa washenzi wa kibrazili walikuwa wanafanana hatari aisee.★Our bros★
#MUFC
#NationalSiblingDay
#GGMU
manutd | View attachment 1748389View attachment 1748390View attachment 1748391View attachment 1748392
labda kwa ufahamu wako mkubwa wa mchezo wa soka hilo tatizo la rashford ulilolielezea hapo juu linatatulika au ndio litaendelea kumuandama milele?Rashford hana kiwango cha kuchezea timu iliyo serious na kutafuta makombe. Timu inayomfaa ni ambayo inajua kabisa itakazana kufika nusu fainali itatolewa kisha maisha mengine yataendelea.
Rashford kwangu mimi ni mchezaji anayebebwa na utaifa wake nje ya hapo ni average player ambaye anaweza akacheza vizuri mechi moja kisha nne zinazofuata akawa hovyo. Haya maoni wanayo makocha wa dunia nzima ndiyo maana hakuna anayemtaka.
labda ni kwa sababu huna utamaduni wa kutembelea hii threads mara kwa mara ndio maana unahoji tena hizo sajili, kwa ufupi hizo sajili zote ulizozitaja hapo juu zimeshafanyiwa mjadala mara nyingi sana humu ndani juu ya mchakato mzima uliopitia mpaka kusajili kwa hao wachezaji. sajili hizo na njia iliotumika zimeendelea kuonyesha jinsi gani timu yetu bado ipo nyuma sana dhidi ya wapinzani wetu wakubwa (liverpool na man city) kwenye eneo la kupata right players kwa muda muafaka, mazingira sahihi ya muda na bei sahihiKwa faida ya wote, tutajie timu mlizokua mnachuana nazo kutafuta saini ya Ighalo, Cavani,Amad, Pellistr na Bruno.
Imebidi nirudi nyuma kuangalia kwanini niliandika hivyo.labda ni kwa sababu huna utamaduni wa kutembelea hii threads mara kwa mara ndio maana unahoji tena hizo sajili, kwa ufupi hizo sajili zote ulizozitaja hapo juu zimeshafanyiwa mjadala mara nyingi sana humu ndani juu ya mchakato mzima uliopitia mpaka kusajili kwa hao wachezaji. sajili hizo na njia iliotumika zimeendelea kuonyesha jinsi gani timu yetu bado ipo nyuma sana dhidi ya wapinzani wetu wakubwa (liverpool na man city) kwenye eneo la kupata right players kwa muda muafaka, mazingira sahihi ya muda na bei sahihi
usajili wa ighalo, cavani, amad na pellistri zimeongozwa zaidi na style ya kukurupuka zikiwa na lengo la kuwanyamazisha mashabiki wa manchester united waliokuwa wakililia sajili mpya za wachezaji hususani baada ya timu kuendelea kufanya vibaya katikati ya ligi msimu uliopita (akaletwa Ighalo na bruno) na hata mwanzoni mwa ligi msimu huu (Cavani,Amad, Pellistri walisajiliwa baada ya kufungwa magoli 6 na spurs).
Cavani: man utd hawakuwahi kumuhitaji hapo mwanzoni na taarifa zake nyingi zilikuwa zinavumishwa ataelekea benfica akiwa mchezaji huru, laiti kama man utd walikuwa na mahitaji naye ya kimfumo wasingelisubiria hadi siku za mwisho kufanya naye mazungumzo haliyakuwa tokea feberuary edison alishatangaza kuondoka PSG.
Amad: atlanta walikuwa wapo kwenye mipango ya kumtoa kwa mkopo pale pale Italy apate muda wa kucheza zaidi ili kukuza kipaji chake, kushindwa kuafikiana na dortmund juu ya usajili wa sancho huku ukiwa muda umeshapotea kizembe ndipo uongozi wa klabu uliamua kutafuta njia rahisi ya kukamilisha usajili wa winga wa kulia. kulipa paundi millioni 30 kwa mchezaji aliyekuwa bado hajaonyesha ubora wowote kwenye soka la ushindani ni dalili tosha inayoonyesha jinsi gani timu yetu ina tatizo kubwa la recruitment ndio maana si ajabu licha ya kusajili wachezaji takribani 6 our first XI is still very imbalanced.
Ighalo: kushindwa kukubaliana na mino raiola kwenye dili la haaland ndiko kulifufua njia ya kusajiliwa kwa Ighalo na ameletwa pale huku yeye mwenyewe akifahamu fika atakuwa mchezaji wa hakiba, Ole alimleta si kwa ajili tu ya kuongeza mchezaji kwenye kikosi bali awe ni mchezaji rahisi kumundoa pindi atakapohitaji sajili ya mchezaji mwengineo especially haaland anayezungumzwa mara kwa mara na pia ighalo alikuwa ni mchezaji asiyeleta athari yeyote kubwa kwa mtoto wa bosi ambaye ni anthony martial
=======================================
kutohitajika mchezaji fulani na timu zaidi ya moja kwenye soko la usajili haimaanishi ya kwamba huyo mchezaji ni mbovu, bila ya shaka unafahamu fika kila timu ina mikakati yake, mahitaji yake na mfumo wake wa kiuchezaji and recruitment process, pia ni mara chache sana kushuhudia takribani timu kubwa zote zinamuwania mchezaji mmoja kwenye dirisha kwa lengo la kuziba nafasi yenye tatizo tena kwa offer mojaImebidi nirudi nyuma kuangalia kwanini niliandika hivyo.
Niliyekua naongea naye juu ya hizo ishu alisema united ikitaka mchezaji haimkosi. Nikamtajia wachezaji iliowakosa kisha nikamuambia ataje timu zilizokua zikiwataka wachezaji waliosajiliwa na united hao wakina Pellistr.
Ulichoandika hapa ni kinadhihirisha nilichosema kwamba united ilisajili wachezaji ambao yenyewe pekee ndiyo ilikua mshindani. So sioni nilichokosea kuandika.
Sina ufahamu mkubwa kwenye mpira wa miguu. Nina ufahamu mkubwa kwenye bodybuilding, huku na mimi ni average ninayejifunza.labda kwa ufahamu wako mkubwa wa mchezo wa soka hilo tatizo la rashford ulilolielezea hapo juu linatatulika au ndio litaendelea kumuandama milele?
nahitaji maoni yako kama utakuwa na muda
Hauoni kumfananisha Bergkamp na Henry na Rashford kwa consistency, kiwango na output ya uwanjani ni unafananisha usingizi na kifo?kutohitajika mchezaji fulani na timu zaidi ya moja kwenye soko la usajili haimaanishi ya kwamba huyo mchezaji ni mbovu, bila ya shaka unafahamu fika kila timu ina mikakati yake, mahitaji yake na mfumo wake wa kiuchezaji and recruitment process, pia ni mara chache sana kushuhudia takribani timu kubwa zote zinamuwania mchezaji mmoja kwenye dirisha kwa lengo la kuziba nafasi yenye tatizo tena kwa offer moja
hivyo nadhani pia si ajabu kwa timu moja kumuwania mchezaji peke yao na hilo halimaanishi ya kwamba hiyo timu ni dhaifu kwenye eneo la usajili, ushawishi na mvuto kwa wachezaji
mkuu naomba unisaidie kwa
- kunitajia timu nyengine zaidi ya arsenal iliopeleka offer kwa Athletico madrid juu ya usajili wa thomas partey, kama timu hiyo haipo je ina maana ya kwamba thomas partey ni mchezaji mbovu?
- huko juu ulisema rashford ni mchezaji mbovu ndio maana hatakiwi na timu yeyote, naomba unitajie timu iliowahi kupeleka offer kwa mchawi wa kidachi anayeitwa dennis bergkamp nyakati zile anachezea arsenal. Ikiwa timu hiyo haipo je tuseme dennis alikuwa ni mchezaji mbovu?
- ukiondoa barcelona je kulikuwepo timu nyengine iliowasilisha ofa ya kumhitaji thierry henry kwa paundi millioni 16 kwa nyakati zile anahama arsenal, kama haipo je thiery henry ni mchezaji mbovu?
hakuna sehemu niliyomlinganisha rashford na hao watakatifu wawili waliotengeneza safu bora ya ushambuliaji kwa takribani miaka 8. labda utakuwa umesahau naamini ni kwa bahati ni kwamba huu mjadala unazungumzia mambo makuu mawili ulioyaleta wewe mwenyewe nayo ni mchezaji kutogombaniwa na timu tafsiri yake ana kiwango kibovu ambapo wewe ulimtumia rashford kama ni mfano, jengine ni mchezaji kugombewa na timu moja ukiwa na maana ya kwamba either mchezaji ni mbovu au timu husika haina nguvu au ushawishi wa kugombania mchezaji na timu nyenginezo, hapo ukatumia mfano wa bruno, ighalo, cavani, amad n.k. comment yangu ya mwisho nilikupa mifano ya wachezaji wawili wakubwa wakiwalisha kila hoja yako kati ya mbili hizo ambao ni henry aliyegombaniwa na barcelona pekee pamoja na bergkamp aliyecheza arsenal licha ya kwamba alikuwa na uwezo wa kucheza na galaticos wa madrid kwa maisha yake mengine. mkuu kwa nini unaendelea kumtumia ighalo kama mfano na si bruno fernandez wakati hao wote waligombaniwa na timu moja. kuhusu partey juu ya usajili wake uliandika lipi zaidi ya lile la kupinga ujio wake kabla ya yule dogo wa lyon ambaye pia aligombaniwa na timu moja tu na mulishindwa bei. mkuu nitafurahi sana kama utanisaidia maandiko kwenye thread yenuHauoni kumfananisha Bergkamp na Henry na Rashford kwa consistency, kiwango na output ya uwanjani ni unafananisha usingizi na kifo?
Siku Partey anasajiliwa niliandika ishu yake kwenye uzi wa Arsenal.
Timu kumuwania mchezaji peke yao ni sawa. Ila vipi huyo mchezaji anapokua Ighalo?
Hakuna timu inaweza kumtaka rash wala mchezaji yeyote wa man utd ambaye man utd bado wanampango nae wa muda mrefu sababu man utd hawako kwenye biashara ya kukuza vipaji na kuuza ili kutengeneza hela. period.hakuna sehemu niliyomlinganisha rashford na hao watakatifu wawili waliotengeneza safu bora ya ushambuliaji kwa takribani miaka 8. labda utakuwa umesahau naamini ni kwa bahati ni kwamba huu mjadala unazungumzia mambo makuu mawili ulioyaleta wewe mwenyewe nayo ni mchezaji kutogombaniwa na timu tafsiri yake ana kiwango kibovu ambapo wewe ulimtumia rashford kama ni mfano, jengine ni mchezaji kugombewa na timu moja ukiwa na maana ya kwamba either mchezaji ni mbovu au timu husika haina nguvu au ushawishi wa kugombania mchezaji na timu nyenginezo, hapo ukatumia mfano wa bruno, ighalo, cavani, amad n.k. comment yangu ya mwisho nilikupa mifano ya wachezaji wawili wakubwa wakiwalisha kila hoja yako kati ya mbili hizo ambao ni henry aliyegombaniwa na barcelona pekee pamoja na bergkamp aliyecheza arsenal licha ya kwamba alikuwa na uwezo wa kucheza na galaticos wa madrid kwa maisha yake mengine. mkuu kwa nini unaendelea kumtumia ighalo kama mfano na si bruno fernandez wakati hao wote waligombaniwa na timu moja. kuhusu partey juu ya usajili wake uliandika lipi zaidi ya lile la kupinga ujio wake kabla ya yule dogo wa lyon ambaye pia aligombaniwa na timu moja tu na mulishindwa bei. mkuu nitafurahi sana kama utanisaidia maandiko kwenye thread yenu
Maandiko ambayo yataprove kama Partey aligombewa ama la?hakuna sehemu niliyomlinganisha rashford na hao watakatifu wawili waliotengeneza safu bora ya ushambuliaji kwa takribani miaka 8. labda utakuwa umesahau naamini ni kwa bahati ni kwamba huu mjadala unazungumzia mambo makuu mawili ulioyaleta wewe mwenyewe nayo ni mchezaji kutogombaniwa na timu tafsiri yake ana kiwango kibovu ambapo wewe ulimtumia rashford kama ni mfano, jengine ni mchezaji kugombewa na timu moja ukiwa na maana ya kwamba either mchezaji ni mbovu au timu husika haina nguvu au ushawishi wa kugombania mchezaji na timu nyenginezo, hapo ukatumia mfano wa bruno, ighalo, cavani, amad n.k. comment yangu ya mwisho nilikupa mifano ya wachezaji wawili wakubwa wakiwalisha kila hoja yako kati ya mbili hizo ambao ni henry aliyegombaniwa na barcelona pekee pamoja na bergkamp aliyecheza arsenal licha ya kwamba alikuwa na uwezo wa kucheza na galaticos wa madrid kwa maisha yake mengine. mkuu kwa nini unaendelea kumtumia ighalo kama mfano na si bruno fernandez wakati hao wote waligombaniwa na timu moja. kuhusu partey juu ya usajili wake uliandika lipi zaidi ya lile la kupinga ujio wake kabla ya yule dogo wa lyon ambaye pia aligombaniwa na timu moja tu na mulishindwa bei. mkuu nitafurahi sana kama utanisaidia maandiko kwenye thread yenu
Game yenu leo saa ngapi?Mpaka sasa tumepoteza mechi 4, man utd ndio timu iliopoteza mechi chache msimu huu lakini suluhu zimetuangusha.