Usichanganye kati ya individual performance vs collective performance.Kwahiyo ukiwekewa uchague katika hizi pair Sterling na Rashford, Foden/ Mahrez na Greenwood, De Bruyne na Bruno na Jesus na Cavani.
Utakua katika dilemma ya kutojua umchague nani kwakua viwango vinafanana au siyo?
Hii thread nayo mara nyingine utani mwingi sana! Eti Ruben Dias wa kawaida!Kwa akili yako unafikiri Manchester City wachezaji wao wana ubora mkubwa sana kuliko walio Manchester United? THINK TWICE!
Golini City ni Ederson Santana wakati United David Degea
Kulia City ni Juan Cancelo wakati United ni Aaron Bissaka
Kushoto City Olek Zinchenko wakati United ni Luke Shaw
Beki wa kati ni namba pekee kwangu mimi Manchester United tuna mchezaji mmoja tu anayeweza kucheza pale (Eric Bailly). John Stones, Aymeric Laporte na Ruben Dias ni mabeki wazuri ukilinganisha na Harry Maguire na Victor Lindelof ila sio mabeki wazuri sana ukilinganisha na mabeki wengine duniani kama Kalidou Koulibaly.
Kiungo wa chini anacheza Rodrigo Cascante/Fernandinho wakati United anacheza Fred/Scott.
Kiungo wa juu United anacheza Paul Pogba/Scott wakati wao anacheza Ilkay Gundogan.
Nyuma ya mshambuliaji wa mwisho City anacheza Kevin De Bruyne wakati United anacheza Bruno.
Mshambuliaji wa mwisho City anacheza Gabriel Jesus wakati United anacheza Cavani.
Mshambuliaji wa kushoto mwa uwanja anacheza Raheem Sterling wakati United anacheza Marcus Rashford.
Mshambuliaji wa kulia mwa uwanja City anacheza Phil Foden wakati United anacheza Mason Greenwood.
Jombaa, hapo nimekuwekea kwa haraka kabisa. Tofauti ya city na United ni ubora wa benchi la ufundi ila sio kwa wachezaji mmoja mmoja ni kweli kuna maeneo City wana ubora sana ila sio kwa margin kubwa kama ulivyotoa kauli ya kebehi hapo juu.
Man City wapewe kombe lao najua mechi ya kesho tutakamia Sababu ni Derby lkn hatuna team bora kushinda wao ..FA wanachelesha tu ila bingwa ni man City
Naangalia game ya Dortmund na Bayern ...huyu Halland ni kama kuna mizimu inamuongoza hivi, goal machine, na nasema sisi man u hatuwezi kumchukua hata kwa dawa.. Sisi Tuendelee kukalisha mapumbu yetu mazito na manene na akina wapuuzi rashford na wengineo tuendelee kusindikiza timu zingine kwenye ubingwa.
Kwenye mechi kubwa anakamiwa sana na watu anaocheza nao ni wqbovu!
We jamaa kwl nimeamini Unashida mahali Yaan unaweza kulinganisha beki mwenye akili Kama Ruben Dias Eti na Harry maguire kwl? laporte na linderlof Dah ebu acha utani hivi unafaham toka city wamsajil Ruben Dias hawajapoteza mech hata moja kiufupi kombinesheni ya mabeki ya man city na midifield wao wako kwny form man city haitegemei forward ndo maan ukiangalia gem za hivi karibuni Gabriel Jesus anawez acfunge ila Ruben au johnstones akafunga.Kwa akili yako unafikiri Manchester City wachezaji wao wana ubora mkubwa sana kuliko walio Manchester United? THINK TWICE!
Golini City ni Ederson Santana wakati United David Degea
Kulia City ni Juan Cancelo wakati United ni Aaron Bissaka
Kushoto City Olek Zinchenko wakati United ni Luke Shaw
Beki wa kati ni namba pekee kwangu mimi Manchester United tuna mchezaji mmoja tu anayeweza kucheza pale (Eric Bailly). John Stones, Aymeric Laporte na Ruben Dias ni mabeki wazuri ukilinganisha na Harry Maguire na Victor Lindelof ila sio mabeki wazuri sana ukilinganisha na mabeki wengine duniani kama Kalidou Koulibaly.
Kiungo wa chini anacheza Rodrigo Cascante/Fernandinho wakati United anacheza Fred/Scott.
Kiungo wa juu United anacheza Paul Pogba/Scott wakati wao anacheza Ilkay Gundogan.
Nyuma ya mshambuliaji wa mwisho City anacheza Kevin De Bruyne wakati United anacheza Bruno.
Mshambuliaji wa mwisho City anacheza Gabriel Jesus wakati United anacheza Cavani.
Mshambuliaji wa kushoto mwa uwanja anacheza Raheem Sterling wakati United anacheza Marcus Rashford.
Mshambuliaji wa kulia mwa uwanja City anacheza Phil Foden wakati United anacheza Mason Greenwood.
Jombaa, hapo nimekuwekea kwa haraka kabisa. Tofauti ya city na United ni ubora wa benchi la ufundi ila sio kwa wachezaji mmoja mmoja ni kweli kuna maeneo City wana ubora sana ila sio kwa margin kubwa kama ulivyotoa kauli ya kebehi hapo juu.
Hebu rejea ile Madrid ya zidane iliyochukua UEFA mara 3 mfululizo kama sikosei, kwan kile kikoc kiliandaliwa na nan? Si Morinyo aliandaa kikosi Zidane akaja kukuta Timu imekamilika akawa anaingiza mifumo yake tu na mambo yanatiki,Yaani asuke kikosi akimaliza afukuzwe aje mwingine atumie kikosi kilichosukwa na mwingine.
Wewe hii umeona wapi? Anayekuja hua anaanza kusuka kikosi chake.
Kwan OGS hawez suka kikosi, unaikumbuka Timu aliyokabidhiwa na hii ya sasa unaweza linganisha? Jamaa kafanya makubwa sana tu, tumpe heshima anayostahil, sasa hivi Timu inacheza hata unaona kabisa kwamba hapa inabid tuongeze mchezaj wa nafasi flan na fulani, Tofaut na wakat wa Moyes,LVG na Morinyo, Kuna wakat Timu inacheza na hauelew yan nin kinaendelea unataman uwatoe wachezaj wote ulete wapya, ila huyu Jamaa unaona kabisa hapa anahitajika winga wa kulia mkomavu (sio vitoto kina Amad na pelistri) unaona kabisa tunahitaj namba 6 nzur, na Tukipata 9 ya maana kazi imeisha,Hakuna kitu kama kusuka kikosi then kocha mwingine aje kukichukua na kufanya nacho wonders..Hakuna.
Kama kocha hawezi kusuka kikosi kitakachompa mataji basi huyo sio kocha wa daraja la juu wa kuifundisha United.
Umeenda in general sana, hauja point matatizo moja mojaMimi kwa sasa nipo dillema
✓Najua kuna wachezaji hawastahili kuwa regular starter kwenye kikosi chetu kwani wana inconsistency ya ajabu kabisa..na kuna wengine work rate ipo juu lakini wanamiss some quality..So inabidi tupate upgrades kwenye hayo maeneo
LAKINI PIA NAJIULIZA
✓ Kocha na benchi lake la ufundi wapo vizuri?..
✓Uongozi wa juu upo serious
======
Mwisho nakuja na majibu kuwa,hayo niliyoyataja hapo ndo mjumuisho wa matatizo yetu..kwamba kwenye kila eneo kuna dosari na ndo maana tutaendelea kutoa pesa kila mwaka ila output ya kueleweka hamna.
======
Mwambie ukwel huyo jamaa, City katuzid kila eneo, labda ile beki yetu ya kushoto na namba 10 yetu ndio inawazid ubora, ila baada ya hapo hamna kituHii thread nayo mara nyingine utani mwingi sana! Eti Ruben Dias wa kawaida!
City CBs
Dias, Laporte, Stones, Ake, Garcia
United CBs
Maguire, Lindelof, Bailly, Jones, Tuanzebe
Utani wa ngumi huu.
Mambo hayakua yanatiki matunda yake ndiyo unayaona sasa hivi.Hebu rejea ile Madrid ya zidane iliyochukua UEFA mara 3 mfululizo kama sikosei, kwan kile kikoc kiliandaliwa na nan? Si Morinyo aliandaa kikosi Zidane akaja kukuta Timu imekamilika akawa anaingiza mifumo yake tu na mambo yanatiki,
Kocha anahusika kwanini ampangeupo sawa kabisa lakn ebu niambie ww yale makosa anayo fanyaga ya Maguire unataka kusema kocha anausika au ni uwezo wa mcheza binafsi na kuto kuwa makini
SureMwambie ukwel huyo jamaa, City katuzid kila eneo, labda ile beki yetu ya kushoto na namba 10 yetu ndio inawazid ubora, ila baada ya hapo hamna kitu
Sasa Ole ndo inabidi afanye uliyosema na mwishoni tubebe kombe..Kwan OGS hawez suka kikosi, unaikumbuka Timu aliyokabidhiwa na hii ya sasa unaweza linganisha? Jamaa kafanya makubwa sana tu, tumpe heshima anayostahil, sasa hivi Timu inacheza hata unaona kabisa kwamba hapa inabid tuongeze mchezaj wa nafasi flan na flan, Tofaut na wakat wa Moyes,LVG na Morinyo, Kuna wakat Timu inacheza na hauelew yan nin kinaendelea unataman uwatoe wachezaj wote ulete wapya, ila huyu Jamaa unaona kabisa hapa anahitajika winga wa kulia mkomavu (sio vitoto kina Amad na pelistri) unaona kabisa tunahitaj namba 6 nzur, na Tukipata 9 ya maana kazi imeisha,