Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Probably hatutasajili kabisa kwa hali ninayoiona
Binafsi sioni kama tunahitaji zaidi kusajili wachezaji kwa sasa japo ni muhimu ili kuongeza nguvu. Timu ipo ila haina mtumiaji mzuri. Kama utapima mchezaji mmoja mmoja sisi na Manchester City sioni utofauti wao na sisi.

Hatuhitaji kusajili zaidi kwa sasa tunahitaji zaidi kubadili benchi la ufundi na Ed amlete mtu wa kufanya maamuzi kuhusiana na mpira huyu ndiye awe msimamizi wa benchi la ufundi (director of football, DoF).

Kama tukipindua msimu ujao hivi hivi bila msimamizi wa benchi la ufundi mwenye uelewa na uwezo wa kuendesha timu tutarudia makosa haya haya kila siku msimu uliopita tulikosa UEFA ndogo kizembe na sasa hivi mpaka january tulikuwa tunamzidi City point 1 lakini ndani ya mwezi mmoja na nusu anatuzidi point 14.
 
Sosha hana maajabu tena ni bahati tu ndio anayoisubiria kunyanyua kwapa....

Bado hajafukuzwa tu
 
Hii timu mpe klopp atakimbikiza miaka kumi pale epl....
 
😂😂😂😂 Mashabiki wa h timu bhana 😅😅😅 hali ikiwa mbaya mnalalamika sana Ila mkishinda game moja bc shida zote mnasahau
 
Unfortunately wewe ni katika minority, majority ya mashabiki wa man U bado wanamuhitaji na board Pia inamuhitaji.

Swali la kizushi tu nani aje akiondoka yeye? Na kwa nini?
Hili swali nilishauliza sana humu ndani halijatolewa jibu.
Ze-dudu mwenyewe huwa hajibu sasa sijajua huwa anataka afukuzwe timu ibaki bila kocha sijui.
 
Duuuh wachezaji wenu mnawafananisha na city
 
Hivi ni kocha gani kwa sasa anaweza kutuvusha hapa tulipo.
 
Hivi ni kocha gani kwa sasa anaweza kutuvusha hapa tulipo.
Mkuu kwa mpira wa kisasa ulivyo mahitaji ya kimbinu ni makubwa sana toka benchi la ufundi kuliko nyota ya home grown inayo mbeba Ole pale Traffolds. Kimbinu na kiufundi Ole ni mweupe kama karatasi hivyo tunahitaji mtu mwenye uelekeo mzuri kwenye maeneo hayo.
1. Nagelsmann.
2. ARTETA
 
Acheni shobo huyo arteta ana miaka 30 pale emirates. HAUZWI
 
Binafsi sioni kama tunahitaji zaidi kusajili wachezaji kwa sasa japo ni muhimu ili kuongeza nguvu. Timu ipo ila haina mtumiaji mzuri. Kama utapima mchezaji mmoja mmoja sisi na Manchester City sioni utofauti wao na sisi.
Ahahaaaaaaah!!!
Watu mna utani sana, yaani unafananisha wachezaji wa Man City na hizo takataka za Man Utd (samahani lakini)?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…