New ferguson in eplMim binafs nilijua title contenders ni
Liverpool na man city
Kitendo cha liverpool kupoteana sioni kabisa mwingine wa kutusogelea city...
Mpaka sasa timu inayonipa hofu ni liverpool tu ,man utd haina madhara kabisa kwenye mbio zetu ...
Man utd huwa sina hofi nayo kabisa
Hata tukiwapa game 4 mshinde mchukue epl bado hamna uwezo sasa hiyo ni timu ...
Epl hiyoo inatua etihad kiulain kabisa
Nawakumbusha tu tulipokuwa ,wakat huu spurs alikuwa anashona suti za kusherekea ubingwa hhaaaaaa...
View attachment 1703088
Nimejaribu tu kumuuliza swali hilo..lakini Nagelsman akija United kwa sasa haiwezi kuwa sawa na Ole aliyetoka cardiff..Leipzig walikuwa semi-finalist wa Uefa msimu uliopita na pia at times wamecheza soka fulani safi huku bajeti ikiwa chini sana.kwa hili jibu lako kwa mujibu wa swali alilouliza jamaa pale maana yake tuendelee kujaribu tena mpaka apatikane aliyesahihi??
Kugombania top four hairuhusiwi ligi ya UK?Wakuu hivi mnagombania nin msimu huu ,
Mim naona top four..
Ni ya mchangani, maskani yao mtwara !
Not six it's 14 points.Manchester City projected to win the EPL six points above Manchester United so pathetic View attachment 1703259
Project ya mwaka mzima na kununua beki ya euro mil80 magwaya kumbe ni top four ..aiseeeKugombania top four hairuhusiwi ligi ya UK?
Jombaa, Julian Nagelsmann yule ni mtu mwenye akili nyingi sana za kiufundi. Ana silaha kubwa sana tunayoikosa kitu ambacho makocha kama Pep Guardiola na Jurgen Klopp wanacho, GAME MANAGEMENT SKILLS.Nimejaribu tu kumuuliza swali hilo..lakini Nagelsman akija United kwa sasa haiwezi kuwa sawa na Ole aliyetoka cardiff..Leipzig walikuwa semi-finalist wa Uefa msimu uliopita na pia at times wamecheza soka fulani safi huku bajeti ikiwa chini sana.
Lampard bado yuko free. Atafaa sana kama mbadala wa OleHivi sokoni kuna kocha gani mwingine wa kututoa hapa tulipo?
Mtu kashindwa kufundisha chelsea ataweza kufundisha United ?Lampard bado yuko free. Atafaa sana kama mbadala wa Ole
Mkuu umeongea vema sana. Na mfano mwingine ni Foden pale Man city,wakiwa wameshinda hata goli 3-4 na dogo akatoa assist au naye akatupia kambani maongezi yote kwa foden wakati Gundogan ndio anawaweka mjini kwa sasa.Waingereza huharibu wachezaji wao kwa kuwapa vichwa pale wanapochipukia. Hiyo huwafanya kujiona nyota kabla hata hawajawa nyota. Kilichotokea kwa Theo Walcott ndiyo kinatokea kwa Rashford na ndiyo kitatokea kwa Foden na kimekwishatokea kwa Greenwood.
Rashford anapoenda kupiga freekick kwa mfano, utasikia watangazaji wakimsifia kuwa na upigaji sawa na Ronaldo Cristiano! Ukiangalia Rashford kafunga freekick ngapi unabaki kuduwaa.
Nakumbuka mechi ya kwanza Danny Welbeck akiwa amepata nafasi baada ya Rooney kutokuwepo alifunga goli akashangilia kisupastaa. Siku ile ile Ferguson kumrudisha kwenye academy akasema anajiona mkubwa wakati bado sana. Ndiyo sababu Fergie aliweza kufanya wachezaji wake wa kiingereza kuwa wakubwa sana.
Lakini hawa wa leo akifunga goli moja tu vyombo vyote vya habari vinaanza kumfananisha na Ronaldo.
Tunawazidi point halafu aje kutushushaLampard bado yuko free. Atafaa sana kama mbadala wa Ole