Niwe mkweli goli mulilofungwa jana ni Clear foul ambayo ingekuwa kwenye Ligi zetu za Mchangani huku Kimbiji basi huyu Refa tungemdunda mpaka maji aite Mma.
Lakini munajua kwanini Refa hakufanya maamuzi sahihi? Unadhani hakuona? Hapana! Refa aliona ila hakutoa you know why? Hii ni home work yako.
Niwe mkweli goli mulilofungwa jana ni Clear foul ambayo ingekuwa kwenye Ligi zetu za Mchangani huku Kimbiji basi huyu Refa tungemdunda mpaka maji aite Mma.
Lakini munajua kwanini Refa hakufanya maamuzi sahihi? Unadhani hakuona? Hapana! Refa aliona ila hakutoa you know why? Hii ni home work yako.