Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Timu yako iko nafasi ya 11, huwezi kunijambisha.
Na points nyingi zaidi nilizichukulia kwa kibonde manure, lakin hiyo sio hoja, hoja ni zile ramli zako mara ooh leo ushindi kwa manure ni sheria
baada ya kubananishwa kwenye kona ukaja na ramli chonganishi nyingine eti ooh! Arsenal itafungwa na Leeds
Compinyoo!!
 
juu kuna bard tunaomba ulinz kwely nyumbu atabak ku nyumbu pundamlia atabak ku pundamlia
naskia arufu za ubingwa kumbe mlkuaga mna njaa
 
Wagunge magori mengi wakitaka kushinda mechi
 
Ni kwasababu beki mzembe, mtu yupo nyuma yako wewe upo mbele ya mpira anapigaje kichwa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…