Hapo ndipo atafeli ss, aachane na mambo ya huku kusikokuwa na shukurani, Messi mpk leo angekuwa the greatest km angekubali kuiwakilisha Spain japo kwa Messi haikuwa mby cz Argentina ni nchi kubwa kimpira but kwa Africa simshauri kabisa, huku kuna upuuzi mwingi mno, chuki, kijicho plus misumari.