Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kumbe inakuuma mpaka leo

Umewahi kuona naizungumzia mahali? Tumefukua makabur baada ya huyo jamaa yako kuja na post za kitoto hapa visingizio kibao mara hao saints ndio tradition yao kufungwa hizo goli au pengine hajui maana ya tradition timu imefungwa goli 9 mara mbili mtu anakwambia ni tradition?????
hiyo misimu mingine nani kawapiga 9 kama ni tradition yao? Kama mtu huna cha kupost na kutoa kejeli bora kukaaa kimya tu unaweza kujiabisha hadi tunauliza huyu anajua maana ya neno analotumia?
 
Na bado shaw anacheza na wakina martial ambao ufungaji wao unatia shaka ndio maana assist hakuna za kutosha
Hio Ndio keypass maana yake. Key pass ni aina ya passi ambayo inafaa kuitwa assist.

Luke shaw Ana key pass nyingi kuliko Robertson wakati Assist Robertson anazo nyingi kuliko Shaw.

Hii ina maana wamaliziaji wengi wanakosa Magoli Man U kwa pasi za Shaw compare na Liverpool pass za Robertson.
 
Na za Liverpool.
 
Washika manati wanasema msimu huu hawataki ubingwa wala top 4 hawana mpango nayo, wenyewe wanatengeneza timu tu.

Kwahiyo tuwaache watengeneze timu tu, wakiwa tayari watatuambia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…