Ole hamna kitu
Ole hamna kitu
Ole hamna kitu
Unataka ubingwa mpaka Sasa hujashinda game kubwa hata moja kwenye EPL
Hawa wapuuz arsenal Wana quality gani ya kutoa draw na sisi?
Tukipanga kikosi cha combine yetu na arsenal ni mchezaj mmoja tu ndo anaweza pata nafasi.
Hatuwezi chukua ubingwa na huyu kocha. Itakuwa ni kutufariji tu mwisho wa siku nothing
Wewe unapambana na nini?Nilishasema uwezi kuwa bingwa Bila kushinda games za big six mkanibishia humu nyie pambaneni na top four tu
Nilishasema uwezi kuwa bingwa Bila kushinda games za big six mkanibishia humu nyie pambaneni na top four tu
Alikosea mech ya shefield united palepale kila kitu kikaharibika siku zote timu ndogo zinakupa point wachambuzi wote nguli duniani wanazungumzia mech hiyo ambayo sosha atajutia ktk maisha yake ya ukocha sio ya arsenal kutomfunga ina maana kama angeshinda ile mech ya shefield united angepata point 4 liverpool anarekod nzur sana msimu huu lakin bado hata akishinda leo hawez kumpita point united kwa nn? Man city anawapita point 7 wakat kashinda mech mbili tu liverpool kapoteza hizo point wap? Kwa hawa big 6 jibu ni hapana kapeleka kwa wadogo ambao wenzie wamezichukua kwa hiyo uiwano unarud palepale ni sawa na zero yaani kama kuchukua hela kisha unaweka mfuko uliotoboka zitakaa?
Ila sasa ukitaka kuchukua ubingwa usherehekee kwa raha funga na wakubwa hapo timu inakuwa imetimia arsenal wa 9 kashinda mech mbili za big six na anaweza kuwa wa 10 kama chelsea aliemfunga akashinda kwa burnley je point 6 zimemsogeza top 4? Hizo point kapoteza wap? Ndio hizo zinanyukuliwa na wajuu yake
Bado mtakataa tu lakini mgeshinda hata mbili huyo city mgekuwa mmepishana point tu
Cavani mbona hamumsemi nafasi alizopoteza
Acheni kupendelea
Yaah Tena sanaVipi bado mnahitaji ulinzi ?
Mida ya kubet hii,nenda kabeti bwana mdogo..Soon hii timu inarud nafasi yake
HahaaaaaMida ya kubet hii,nenda kabeti bwana mdogo..
Hilo li takataka halikuwa na maamuzi ya haraka.Juu leno alicheza ikawa kona
Video ya pili angalia mpira anakouchukua na mguu kwanza nampongeza sana alijitahidi sana
Kosa lilikuwa hapa
View attachment 1690669
Hivi huyu Fred hili lidudu analiweza kweli??
Partey ametoka majerui jana amecheza chin ya kiwango sana
Lakin dimba zima sijamuona mjingi pogba wala mpuuzi Bruno au kichaa Fred
Mac Tommy ndio alikubal mapema sana akaone atoke tuView attachment 1690757