Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Anatakiwa aweke full majembe,,,then tunaua game first half wanapumzishwa!

Hizi timu ndogo tunatakiwa tuzipige, ajabu unaweza kufanya rotation Leo then jmoc ukadroo , !!!

Anyway

#GGMU
Sasa man United kuna Jembe?
 
Shelfied United 2 vs Man united 4

What’s a come back from Man united under ole sosha
 
Kweli 4 zimefika

Baraka majogoro hatrick
 
Hahaha Man u sio ya kuiamini hivyo
Yametimia
Sosha hajakaa kiubingwa kabisa yani mi naamini bahati ndio itambeba kuchukua ubingwa wa epl lakini si uwezo....
Nikizikumbuka nusu fainali nne anapoteza sina hamu nae kabisaaaaaa
 
Aisee prediction imegoma
 
Nyie jamaa mmeongea sana baada ya kubahatisha kukaa kileleni.
Sasa ni wazi hamtakuja kurudi tena nafasi ya kwanza maana mechi ijayo mnanyolewa na Asanali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…