Baba Swalehe
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 20,220
- 39,851
Hongereni mabingwaDua la kuku halimpati mwewe
Sasa man United kuna Jembe?Anatakiwa aweke full majembe,,,then tunaua game first half wanapumzishwa!
Hizi timu ndogo tunatakiwa tuzipige, ajabu unaweza kufanya rotation Leo then jmoc ukadroo , !!!
Anyway
#GGMU
Uwe na Akiba ya manenoTuko vizuri leo tutapata clean sheet View attachment 1687770
Kwakweli wamekosea sana ngoja tuone dakika ya ngapi now?Kupata hili goli mapema ndiyo walichokosea.
Kweli 4 zimefikaWacheni uwongo wenu hapa, yn sheffield ndo anaupiga mwingi kuliko utd wkt possession ilifika mpk 80%, sema man imejiamini sn wanaona km watafunga mda wwte kitu ambacho sio vzr, aingie cavani atoe Takataka martial, na Matic pia atoke.
Prediction: man 4-1 sheffield.
Bruno hajapiga penalty leo?Niliwahi kusema VAR na Marefa wakiacha kuwabeba kwa Penalty za wizi nyie ni hamna timu.
Brono ni shoga tutamsahu soon kama Daniel James.Buruno mbona leo haongelewi? Maana akitoa katika pasi 10, 7 zote anapoteza
YametimiaHahaha Man u sio ya kuiamini hivyo
Aiseeee uliwaza mbali sana tena ukawa against na wenzio wote humu.....EPL hakunaga team ndogo
Aston villa hakuwa wa kumfunga Liverpool 7....kimsingi lolote linaweza kutokea
Ndio tushapata aibu sasaAston Villa wametumia zaidi ya €200m misimu miwili iliopita, even sisi hatuwafikii.
Hawa Shefield ni weupe kabisa, tukishindwa chukua 3 point ni aibu.
Aisee prediction imegomaWacheni uwongo wenu hapa, yn sheffield ndo anaupiga mwingi kuliko utd wkt possession ilifika mpk 80%, sema man imejiamini sn wanaona km watafunga mda wwte kitu ambacho sio vzr, aingie cavani atoe Takataka martial, na Matic pia atoke.
Prediction: man 4-1 sheffield.
Kuna wachezaji wako kwenye squad hamuwaamini?hivi kuna siku ole karudia kikosi siku za hivi karibuni ? kwanini kila siku lazma aje na kikosi cha tofauti ?
Pole kwa kushikwa kudogoukoiviKwani hakikuanza kikosi kilichoifunga liva? Kilisukuma ngozi hadi nikaiwaza jmosi.
Au ndiyo hichi hichi?
Kama nilivyo waambia .Wakubwa naona mnamoto.
Leo mkishinda nawatangaza rasmi kuwa mnalitaka hili kombe.
Sent using Jamii Forums mobile app
😀😀😀Amkeni nyie
Mnalala kwa raha gan mliyonayo