Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Sibishani na mambo yaliyopita Mimi....
 
Urefa bado tumo, punguza jazba.
 
Asante kwa kumbukumbu hii murua mkuu Joh
Ni kweli nilisema ila kwa kipindi kile timu ilikuwa hovyo sana na kila
mtu alitema nyongo kulingana na muono wake. Lakini kibaya zaidi tuliongea haya kutokana na kauli za Pogba kuwa madrid ni ndoto ya kila mchezaji ikiwemo yeye.
Ila kwa sasa tufurahie hii form yake nzuri pamoja na ya timu kwa ujumla.
GGMU
 
Kwa game ya jana liverpool walimfanya Rashford aonekane kama Pele yani.
Kila alichokuwa anakifanya kilikuwa poa sana tu.
Ile pressing ya goli lake alicheza kwa dharau utadhani golikipa alikuwa farouk shikalo.
Ila siku akiamka vibaya unatamani akachezee arsenal kama ndugu yake welbeck
 
😂😂😂et welbeck daah kitambo sanaa huyu mwamba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…