Manchester United (Red Devils) | Special Thread


Nimemshangaa sana Michael Owen, leo alikuwa mmoja wa wachambuzi SkySports, anadai ile ilikuwa offside, Dermont Callagher anajitahidi kumfafanulia kwamba Mings ndie aliye ua ile offside, jamaa haelewi. Nimebaki na maswali mengi kichwani, kwa vile sikutegemea Owen kuongea mambo ya mpira kitaahira
 
Wewe ndo hujui hata offside ni nini kwa hiyo bora ukae kimya. Wenye akili timamu akiwemo refa mstaafu Gallagher wameiona offside sababu "mfungaji kafaidika" na kuwa kwake off side.
 

maneno mengiiii utumbo mtupu
utakuwa ni chadema wewe
 
Wewe ndo hujui hata offside ni nini kwa hiyo bora ukae kimya. Wenye akili timamu akiwemo refa mstaafu Gallagher wameiona offside sababu "mfungaji kafaidika" na kuwa kwake off side.

Sijui kama unaelewa kizungu, “Rodri was offside before he returned to an onside position to challenge Mings and Villa manager Dean Smith was sent off for his protests”. Dermont Callagher hakuongea huo ujinga unaoueneza hapa, nenda shule,
 
Marefa wanaharibu EPL ?????Hahahahahahahahah

Mnaongoza ligi kwa msaada wa Marefa na VAR ,wakipewa wengine kumbe inawauma.
sidhani kama kuna timu imenyimwa penalty nyingi msimu huu kushinda utd, labda sababu siangalii mechi nyingi za epl, leo tu kama unaangalia mpira penalty ya wazi kabisa tumenyimwa ya fred.

na huu mjadala si ulifungwa last week? liverpool bila penalty wangekuwa nafasi ya 10 na utd bila penalty wangekuwa nafasi ya pili?
 
Uzi wetu una mamluki wengi sana.
Usipowatambua ni km wenzako kumbe wapinzani.
Ila karibuni humu ndani ndio kuna madini yote ndiomaana hamuishi kuzungukia. GGMU
Li uzi la kishamba sana hili...kumejaa wanywa banana hapa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…