Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 29,029
- 51,563
Dogo ana ubinafsi flani. Anataka aonekane yeye kuwa ndio icon ya man u wkt kiwango hicho anna. Sometims unamtoa ili akili imkae sawaHuyu rashford ni kilaza, sasa anaenda wapi huko
Anazidi kukabwa hataki kutoa pass kwa cavan amalize mchezo
Mjinga sana huyu dogo
Dialo amenunuliwa na nani?
Huyu rashfod ana tatizo gani na Cavan? Hii ni mara ya tatu sasa kumnyima Cavan nafasi ya kufunga,
Zaidi ya Mara tatu anafanya hivi..Wakuu Rashford mchoyo sana wa pasi, kuna counter moja ilikua ampasie pasi Cavan ashinde yeye akang'ang'ania kutaka kupiga yeye, hivi Rooney angekua na akiri finyi kama za Rashford tungetwaa mataji kweli, anashindwa jifunza hata kwa Grealish
OGS atuletee Grealish acheze nafasi ya Rashford
Issa KijotiMan U kufufuka kutoka wafu ni kawaida yao. Swala ma kusema eti mtamaliza msimu na kikombe FUTA KABISA! hamuwezi kubeba kombe lolote! Labda Kombe la uji.
#COYG
#COYG
Hahaaaamechi ya man u mtuu unaangalia umeshika pumbu tumechoka
Martial anakuwa na ujinga mwingi ila hajamzidi Rashford..ingekuwa ni Anthony pale angepiga pass fasta tu kwa Cavani..Zaidi ya Mara tatu anafanya hivi..
Tena ni nafasi za wazi kabisa,,,anatukosesha ushindi.
Hivi ole hamwelezi suala hilo la ubinafsi kweli?
Kocha kama morinho hakubali upuuzi huo.
Bench lingemuhusu..
Pogba anakosa mpishi kivipi?..yeye ni target man mbele?nikiulizwa nani aondoke man u nitasema martial
nikiulizwa nani anzi bench man u nitasema rashford
pogba anakosa kitu kidogo sana anakosa mpishi
bruno akianza na pogba anapata tabu sana
Pogba aisee naona kachoka zaidiiimechi ya man u mtuu unaangalia umeshika pumbu tumechoka
Hakika kabisa,,martial ni mvivu,,lakini sio mchoyo,,na ndy maana ana assist nyingi kuliko rashford..Martial anakuwa na ujinga mwingi ila hajamzidi Rashford..ingekuwa ni Anthony pale angepiga pass fasta tu kwa Cavani..
Ole asipokuwa mkali hawa watoto watamletea vikwazo sana..
Game ya Fulham aanzie bench..Greenwood acheze nafasi yake
Umeongea kwa maumivu makali sanaKanatolewa hakataki mmekadekeza vibaya ako kashoga
Sipati picha kama tungefungwa
Vp Klopp halaumu referee tena? Anazungumziaje Thiago na Fabinho kufanya foul kama 5 hivi za kuzuia counter Attack bila kupewa card?Ingekuwa sawa na vipindi vingine ambavyo huwa mnafungwa.
Sisi Liverpool ambao hatufungiki Anfield ndo ingekuwa habari kama tungefungwa.
Vp Klopp halaumu referee tena? Anazungumziaje Thiago na Fabinho kufanya foul kama 5 hivi za kuzuia counter Attack bila kupewa card?
Martial anakuwa na ujinga mwingi ila hajamzidi Rashford..ingekuwa ni Anthony pale angepiga pass fasta tu kwa Cavani..
Ole asipokuwa mkali hawa watoto watamletea vikwazo sana..
Game ya Fulham aanzie bench..Greenwood acheze nafasi yake