Niliwaambia Ole huu mwaka 2021 ni wake sababu hadi sasa hivi ni vigumu sana Man U kufungwa hovyo.
Rashford kazingua sana mechi ya leo.
Hongereni sana Man U, msisahau pale Anfield ni mwaka wa 3 hivi sasa haijafungwa EPL.
Sent from my ONEPLUS A3010 using
JamiiForums mobile app