Jf imezalisha kwa kasi kubwa sana jamii ya watu tunaodanganya mfumo mzima wa maisha yetu, ila kiupande wa pili ukimuona mdau fulani katika kila sentensi yake ya kujibu hoja inaambatana na matusi basi ujue hiyo ni tabia yake na wala hadanganyi.
jamaa anaonekana naye ni mdau anayeongozwa zaidi na ushabiki wa mpira wa uwanjani kuliko kwenye ubongo ndio maana naye anaingia katika kundi la wanaopenda ligi.
kwa mfano juzi moja niliandika humu ndani, mechi ya liverpool tunakwenda kudhalilishwa kimpira(sijasema kimatokeo) na mechi ya arsenal bwana ole atapoteza tena kwa mara ya tatu dhidi ya arteta.
dah kilichotokezea
hahahahaaaaaaaaa