Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Tatizo unafanya sana spinning.

Hamna sehemu nimesema telles mbaya.

Niliongelea wachezaji kusajiliwa na kutocheza ukaulizia performance, gave u stats, sasa hivi unasema mimi nimesema telles mbaya.
 
Mkuu hapo unachoma mafuta tu bure jamaa anataka ligi tu nimesoma convo from mlipoanzia nimegundua jamaa hana hoja ya msingi isipokuwa anataka kutafuta ubishani usiokuwa na afya
 
Tatizo unafanya sana spinning.

Hamna sehemu nimesema telles mbaya.

Niliongelea wachezaji kusajiliwa na kutocheza ukaulizia performance, gave u stats, sasa hivi unasema mimi nimesema telles mbaya.
Unaikana comment yako mwenyewe?



Toka mwanzo unajenga Hoja Telles hajacheza vizuri kama wing back (ama wingman ulivyokuwa unamuita wewe) na ukaweka stats zako, sasa hivi Unaikana tena?
 
Unaikana comment yako mwenyewe?

View attachment 1669308

Toka mwanzo unajenga Hoja Telles hajacheza vizuri kama wing back (ama wingman ulivyokuwa unamuita wewe) na ukaweka stats zako, sasa hivi Unaikana tena?
Duh sa mbona unasema nimesema telles mbaya?

Mbaya ni kila mechi atakuangusha ni tofauti na kusema performance haikua nzuri.

Mchezaji mwenye mchango kwenye mechi hutolewa dk ya 67?
 
Duh sa mbona unasema nimesema telles mbaya?

Mbaya ni kila mechi atakuangusha ni tofauti na kusema performance haikua nzuri.

Mchezaji mwenye mchango kwenye mechi hutolewa dk ya 67?
tena double standard unang'ata na kupuliza.

ametolewa akaingia pogba change of tactics, badala ya kucheza wingbacks tukarudi na beki wa 4 kawaida.
 
Sasa braza hata picha uoni Klopp game 199 penati 30, Olesendeka game 75 penati 27


stats za miaka 5 iliopita hapo
liverpool 28
Man utd 39

man u ana pen nyingi ila Klop ameongeza chumvi,

na ukiangalia hapo Var imetusaidia sana, kipindi cha moyes hadi mou tulinyimwa sana penalty,

even sasa hivi bado tunanyimwa penalty za kutosha tu, timu yetu ipo direct sana na tuna watu wana speed sana, ni rahisi kwa mtu kama rashford ama martial kutengeneza penalty.
 
Sasa braza hata picha uoni Klopp game 199 penati 30, Olesendeka game 75 penati 27
Yani sasa hivi ndo dawa inawaingia maneno ya kubebwa yanakuja sababu team inakaribia kufika at the top wakati wa Moyes haya maneno hatukuyasikia tena natamani game ya Anfield tupate penati tuwafunge kwa kuwakera itapendeza sana Klopp aendelee kulia vizuri

Sent from my SM-J400F using JamiiForums mobile app
 

Vipi ukianzia kipindi alichoingia Klopp?
 
Sawa mkuu naomba beki ziwe zilezile za jana na Soton Henderson na Fabinho itakuwa safi sana

Sent from my SM-J400F using JamiiForums mobile app

Huna ubavu wa kushinda Anfield kwa kikosi ulichonacho.

Narudia kusema huna ubavu huo.

Ukiacha timu zinazochechemea kwenye msimamo wa ligi, ni Man City tu ndo anaweza kushinda pale.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…