Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Tulicheza 4-2-3-1 wing back anatokea wapi na tuna mawinga?
Hamkucheza 4 2 3 1 na hiko ndiyo kilisababisha niandike nilichoandika. Mlicheza 3 4 1 2, ingekua 4 2 3 1 siku ile telles angekua LMF na siyo wingback.

Anyway down with performance breakdown.

Game mnashinda 2 kwa 1 telles alikua na workrate ya 6.6 ndogo kuliko mchezaji yeyote wa man u.

Aligusa mpira mara 39.

Alipiga krosi 8 ila 3 pekee zilifika golini.

Hakupiga shuti lolote golini.

Katika ground duels 8 alishinda 2.

Hakufanya aerial duel yeyote.

Alipoteza mpira mara 15.

Alifanya faulo 2.

Hakufanya clearance yeyote.

Dribbled past 1.

Alitolewa dakika ya 67.
 
Klop ameanza kulialia...tukimfunga tarehe 17 atachanganyikiwa kabisa
 
Hiyo workrate imepimwa na chombo gani?..
 
Hahahahah mkuu Unazugumzia Asenoo hii hii au Kuna nyingine?
 
Chelsea hiyo mkuu ilikuwa bora sana haikuwa na kocha tu

Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi nairate man U ya 2007/2008 kama bora zaidi kwenye timu yetu, bora kuliko 1999,

Na Chelsea tulikutana nao sana msimu huo, tumewafunga fainali Uefa na hata ligi OT tuliwafunga 2-0,

Hata kikosi chetu individually kilikuwa bora

Forward ya Ronaldo Rooney na Tevez
Midfield ya Hagrevaes, Carrick scholes
Beki ya evra, Rio, vidic na brown
Kipa van de sir

Hapo weak link ilikuwa ni brown pekee, waliobakia wote walikuwa ni top top players kama sio world class.

Hata kikosi cha mwaka hakikuwa na mchezaji hata mmoja wa Chelsea
 
Ratings za BBC zinakinzana na zako

 
My starting XI vs City kesho

======
Henderson

AWB Lindelof Maguire Telles

McTominay Fred

Greenwood VdB Pogba

Martial

=======
It's Carabao Cup guys hakuna haja ya kukamia at this moment

✓Fernandes anahitaji kupumzika,Rashford pia the same..Kitasa Bailly hakuna haja ya kukitumia..kuna game mbili za epl zenye umuhimu sana zinakuja na kama Victor hajapona basi Tuanzebe aanze


GGMU
 
Inabidi sasa tuonyeshe umwamba.

Piga Burney..Piga Liverpool.. tunawapita kwa 6points ..Mziki unabaki City
Mkuu, huyu City ana viporo vigumu vitupu.
Anamziki wa Evaton pamoja na Aston Villa, sioni akichukua points zote 6 huyo.
Yani sisi ubingwa tunaanza kujihakikishia kwenye mechi na Livakuku.
Tukichinja kuku tu, basi ubingwa uleeee.
 
Ila timu kubwa inapofungwa na Arsenal inakuwa kama ina upungufu Fulani hivi asee. Mfano sisi Man U tunapocheza na Arsenal yaani huwa siwazi kwamba mpira una matokeo matatu. Hivi Cavan adhabu yake inaisha kwenye mechi inayokuja au ipi?
 
Jamaa kaanza kuchanganyikiwa kidogo kidogo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…