Mashabiki aina yako huwa siwaelewi kabisa, sijui ni utoto.
Kipi kinakupa uhakika wa kufungwa na Arsenal?
Hao Liverpool walisha kudhalilisha lini kimpira?
Hivi kunaulazima gani kuipenda Manchester United?
Watoto wa dogo munazingua kinoma.
Ungekua karibu ningekupa mbata hilo, mpaka wazazi wako wangenisusia nikulee.