Caicedo kama anakuja ni straight kikosi cha kwanza, ni mzoefu tofauti na hao wawili umri wake usikudanganye.
Qualifier amekiwasha sana na Ameshadominate midfield za kina Rodriguez, bantacur, velverde etc.
Na jamaa ni Dm, kwa kikosi chetu tunamuhitaji sana.
Diallo wametaka kumchukua kwa mkopo Atlanta ila Ole amekataa Hivyo at least atatrain na timu ya wa kubwa.
Tetesi ni huyo Moises Caicedo.