dah kuna muda tunamuonea sana Ole kwa kuamini kila sub anakosea japo kuna wakati huwa anakosea kweli,muda ambao alimuingiza James ilikua tayari tunaongoza kwhy aliamua kulinda goli lkn pia kwa kuweka mtego wa kupata goli lingine na sio kupaki bus kama anavyofanyaga Mou.
dah kuna muda tunamuonea sana Ole kwa kuamini kila sub anakosea japo kuna wakati huwa anakosea kweli,muda ambao alimuingiza James ilikua tayari tunaongoza kwhy aliamua kulinda goli lkn pia kwa kuweka mtego wa kupata goli lingine na sio kupaki bus kama anavyofanyaga Mou.
cion kama man u itafanya usajil mkubwa sana ndan ya jan hii zaid ya yule dogo wa America Caicedo waje kuungana na facundo pellistri na A.Diallo wa atlanta wakacheze Man u-23 wapate uzoefu wa lig ya Uingereza
cion kama man u itafanya usajil mkubwa sana ndan ya jan hii zaid ya yule dogo wa America Caicedo waje kuungana na facundo pellistri na A.Diallo wa atlanta wakacheze Man u-23 wapate uzoefu wa lig ya Uingereza