Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Happy New Year from Man Utd
IMG_5846.jpg
 
FT Wachezaji walienda kumkumbatia Bailly bila shaka ni kwa kazi aliyopiga. Ile dk ya mwisho Davis alitaka kutulaza na viatu.

Ninachopenda kwenye hii United ya sasa ni ile winning mentality; sasa hivi kutoa sare kwetu ni kama tumefungwa. Halafu hii ratiba imekaa poa sana sasa hivi presha wanayo Liverpool dhidi ya Soton: The Saints. Wanayo shughuli nzito ya kufanya, wakitoa sare tu itakuwa bomba sana.
 
Back
Top Bottom