mechi ya kesho dhidi ya west ham itachezwa muda gani?
hii ratiba niliyoiangalia inasema ni saa 11:30 na mechi ya chelsea ni saa 2:30.
nimesikiliza redio fulani wanasema mechi ya chelsea ni saa 5 usiku.
kama mechi ya chelsea ni saa 5 usiku basi mechi ya man utd ni saa 2:30 usiku.
nahitaji jawabu sahihi