Mpira ndivyo ulivyo mkuu, game ya Leo kocha kawaangusha, PSG haikuwa timu ya kuwafunga leo.
Kama angefanya sub mapema ya Fred, ninaamini mngekaza hata kutoa sare ambayo ingekuwa nzuri sana kwenu.
Hapo mnaenda kutafuta sare ugenini, itakuwa game ngumu sana. Lakini naona mtapita kwa mtazamo wangu.