D A E M U S H I N
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 22,633
- 121,022
kipimo nilichokuwa nakisubiria kwa bwana ole gunnar ili nimhukumu vilivyo kimekaribia.
wale wahuni wana pressing kuliko mbwa mwenye kichaa na tukishindwa kuicontrol mechi pale kati basi tumeumia.
Romeu and Ward Prowse are very strong, sidhani kama tutaanza na midfield wa mechi iliopita dhidi ya waarabu wa turkey.
matokeo ya ushindi si tu ninayoyasubiria bali hamu yangu ni kumuona Ole akimdhibiti kiufundi mtaalamu ralph hasenhüttl.
nimeshaanza kutetemeka wala siku yenyewe haijafika na wasiolewa mpira watadhani jamaa amechanganyikiwa na stori za halima.
wazee wa 4-4-2 inayonyumbulika hadi 4-2-2-2 wanatusubiri pale kwa mtakatifu
tukutane jumapili inshaallah,
mwalimu bora uingereza baada ya klopp
wale wahuni wana pressing kuliko mbwa mwenye kichaa na tukishindwa kuicontrol mechi pale kati basi tumeumia.
Romeu and Ward Prowse are very strong, sidhani kama tutaanza na midfield wa mechi iliopita dhidi ya waarabu wa turkey.
matokeo ya ushindi si tu ninayoyasubiria bali hamu yangu ni kumuona Ole akimdhibiti kiufundi mtaalamu ralph hasenhüttl.
nimeshaanza kutetemeka wala siku yenyewe haijafika na wasiolewa mpira watadhani jamaa amechanganyikiwa na stori za halima.
wazee wa 4-4-2 inayonyumbulika hadi 4-2-2-2 wanatusubiri pale kwa mtakatifu
tukutane jumapili inshaallah,
mwalimu bora uingereza baada ya klopp
★