cosmonaut
JF-Expert Member
- Apr 12, 2015
- 1,392
- 2,770
Si hafurahi kutokea subBench

Si hafurahi kutokea subBench

Scholes kazi yake ni kuponda.
Ukocha umemshinda sasa ni kutoa kasoro tu.
★
Si hafurahi kutokea sub![]()
What a player he has been for usBruno fernandez hajawahi kucheza zaidi ya mechi 2 bila ya kufunga goli au assist tokea asajiliwe man utd...
amekuwa ni uti wa mgongo wa kiwiliwili chetu, uzuri ni kwamba tupo katika dunia ambayo mabepari wote wameliwa fedha zao na mdudu covid19 hivyo basi sidhani kama atatokezea mbabe wa kumsajili kwa miaka hii miwili ijayo au zaidi.What a player he has been for us
Roho ya Solskjaer
Mimi nachofurahi zaidi kutoka kwake ni ule uwezo wa kutokuwa na mchezo mzuri lakini bado ata assist au kufunga kwenye gemu husika(ambayo hajacheza vizuri)amekuwa ni uti wa mgongo wa kiwiliwili chetu, uzuri ni kwamba tupo katika dunia ambayo mabepari wote wameliwa fedha zao na mdudu covid19 hivyo basi sidhani kama atatokezea mbabe wa kumsajili kwa miaka hii miwili ijayo au zaidi.
kama tutakuwa na consistency yenye kuambatana na pattern inayoeleweka kiuchezaji basi naamini bruno anaweza kuwa mchezaji muhimu atakayeimbwa na kila mshabiki.
ni kutokana na tabia yake ya kupenda kujaribu jambo gumu bila ya kujali position aliopo, hata mimi mwanzoni nilikuwa nachukizwa na tabia yake.Mimi nachofurahi zaidi kutoka kwake ni ule uwezo wa kutokuwa na mchezo mzuri lakini bado ata assist au kufunga kwenye gemu husika(ambayo hajacheza vizuri)
Amaizing kabisa..
Hii kitu inamfanya pogba aendelee kutoa maneno ya kwenye kanga bahat mbaya kocha wa timu ya taifa ya ufaransa anamuunga mkono mech na sweeden alitoa boko bahat yake walishindaBruno fernandez hajawahi kucheza zaidi ya mechi 2 bila ya kufunga goli au assist tokea asajiliwe man utd...
Napenda sana pogba ambavyo hapangwi wachezaj wataanza kuwa na nidhamu kwamba hata wao wanaweza bila mtu fulaniPP mbona hayupo![]()
Napenda sana pogba ambavyo hapangwi wachezaj wataanza kuwa na nidhamu kwamba hata wao wanaweza bila mtu fulani
Kwa kipindi kile ilikuwa ngumu maana hatukuwa na mtu kama bruno saiv kuna bruno na DVB watakuja kufanya jambo saiv kupigwa mkeka pogba sio inshu ila itakuwa inshu akiwekwa mkeka brunoHuyu jamaa(PP) UTD wange cash in, wangekuwa wanjanja sana
Tuendelee kustick na Fred na Scott hadi lini mkuu?..Offensively tuna struggle sana na hii combo na siku hiyo Fernandes akiwa hayupo mchezoni basi shughuli inakuwa ngumu..
Big match tunaweza kuanza na McFred strategically..lakini hizi burnley,fulham,n.k embu tucheze na hii mido combo tuone aisee
Hata mbeleni ningependa tuwe na Middle atleast wawili wanaoweza kuwa too offensive na mmoja wao kuwa na uwezo mkubwa wa kukaba pia..For the meantime tuipe chansi Fred,VdB na Bruno tuone