Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

mechi yetu dhidi ya west ham sijui itakuaje hiyo siku. wale jamaa jana walikuwa wanacheza watano pale nyuma na umeona jinsi tulivyokuwa ovyo kanakwamba hatukufanya maandalizi yoyote. sisi tunakuwa bora zaidi tunapocheza na timu mfano wa everton(timu zinazoruhusu kukimbizwa).. next match ni southampton ambao msimu uliopita tulivuna suluhu mechi zote
Ralph Hausenhult atatulaza na viatu let's wait

Shida ya hii timu yetu ni kuwa huoni details za kuotoa ishara kuwa hii timu ina mwalimu bora na pia muda mwingine haieweleki ni wachezaji mediocre au nini..
 
Ukweli ni kwamba Anthony Martial msimu huu yuko hovyo sana tena sana.

Lakini kwa msimu mitatu mfululizo Martial asipopata injury akapumzika kidogo hali hii huendelea kuwa mbaya zaidi.

Anaonekana wazi kachoka sijui kachoka na nini huenda mechi za usiku anazicheza kwa fujo
Why kocha anaendelea kumpanga over and over?..
 
Mkuu mark my word, OGS hata umpatie Haaland, tutaua kipaji cha dogo tu, hata umpe Mbape atakua kama martial tu

Ubora wa manager kwnza ni kuweza tumia resources alizonazo kwa ufanisi
Hilo nalijua..OGS hajanishawishi kabisa..lakini ni ukweli hata akija kocha mzuri,hii frontline yetu bado haina maturity ile ya kuleta makombe
 
Hii tafsiri yake nini mkuu ?
kwa uelewa wangu ni kama indicator inayo tathmini taathira ya mashuti tunayopiga langoni kwa adui. unaweza kuchukua jumla ya mashuti tunayopiga ukagawanya na magoli yaliofungwa baadae ukazidisha kwa 100. unaweza ukawa na shots nyingi kama za wachezaji wa tanzania lakini zisiwe na faida yoyote na ukawa na shots chache za on target au total attempts kama croatia na world cup au man utd ya mourinho lakini zikazalisha magoli mengi. kwenye asilimia 100 sisi tuna 7%. sisi tumeozeana
 
kwa uelewa wangu ni kama indicator inayo tathmini taathira ya mashuti tunayopiga langoni kwa adui. unaweza kuchukua jumla ya mashuti tunayopiga ukagawanya na magoli yaliofungwa baadae ukazidisha kwa 100. unaweza ukawa na shots nyingi kama za wachezaji wa tanzania lakini zisiwe na faida yoyote na ukawa na shots chache za on target au total attempts kama croatia na world cup au man utd ya mourinho lakini zikazalisha magoli mengi. kwenye asilimia 100 sisi tuna 7%. sisi tumeozeana
Kwa hali ya kawaida sisi hatuna striker mwenye level ya kuchezea united, tunawachezaji ambao kwa level ya United walipaswa kuwa fringe players tu.
 
Point yangu ni kuwa wote hao sio solution..tunahitaji straika kama Haaland

Otherwise ni marktime tu tunapiga..tuwe wawazi.
Kwa juhudi alizozifanya Ole dirisha la January kumsajili Haaland ila Woodward akashindwa tuna sababu za kumlaumu Ole juu ya hili ?
 
mechi yetu dhidi ya west ham sijui itakuaje hiyo siku. wale jamaa jana walikuwa wanacheza watano pale nyuma na umeona jinsi tulivyokuwa ovyo kanakwamba hatukufanya maandalizi yoyote. sisi tunakuwa bora zaidi tunapocheza na timu mfano wa everton(timu zinazoruhusu kukimbizwa).. next match ni southampton ambao msimu uliopita tulivuna suluhu mechi zote
Westham tutawafunga tena kwa urahisi tu ni wasumbufu lakini they are not smart.
 
Kwa hali ya kawaida sisi hatuna striker mwenye level ya kuchezea united, tunawachezaji ambao kwa level ya United walipaswa kuwa fringe players tu.
ipo hivyo hatuzitumii ipasavyo nafasi zinazotengenezwa. mfano jana kama tungelikuwa na mwanadamu mfano wa de lima zile nafasi 6 alizotengeneza tungelikuwa tunaongea hadithi nyengine.
 
Mkuu timu yetu tatizo siyo kina martial wala mchezaj yeyote, tatizo ni OGS tu

OGS hata umpatie Mbape, KDB muongezee na yule Messi wa Guardiola, hatupi EPL

Kama umechunguza ushindi wetu ni inategemea na kujituma kw wachezaji au wachezaj wameamkaje na si mbinu za kocha, ndio maana hatuna mfululizo wa +results
Unamfunga PSG away, unamfunga Leipz goli 5 then unaenda pigwa 6 na totenham tena kwa kiwango kibovu
Tulipigwa na Totenham hizo 6 ndiyo tukaenda kushinda kwa PSG na Liepzig
 
Kwa hali ya kawaida sisi hatuna striker mwenye level ya kuchezea united, tunawachezaji ambao kwa level ya United walipaswa kuwa fringe players tu.
Sio kweli PTER mchukue Rashford mpeleke Bayern af utaona hata hili garasa Martial tunalolilaumu humu nadhani nalo huenda tatizo ni lile lile la benchi la ufundi kushindwa kupandisha kiwango, unataka kunambia Cavan hana level ya kuchezea utd?
 
Back
Top Bottom